Wait, Redmi amefanya hivi?

Wait, Redmi amefanya hivi?

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,283
Reaction score
2,590
2d5cd6b8d5e0c7aa07362f93c82e03cc.jpg


Kwa hii Redmi hapa Wamepitliza Aiseeh

Kuna simu mpya ya Redmi inakuja lakini uwezo wake sasa ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ, inaweza kuifanya iwe moja ya simu zenye battery kubwa zaidi kwenye flagship za mwaka huu.

Redmi K100 Pro Max 9,070mAh ๐Ÿ”‹ + 185Hz โšก kwenye simu moja?! ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ“ฑ inakuja ikiwa na battery kubwa sana, display ya 185Hz na 200MP camera! ๐Ÿ˜ณ

kwa ufupi tu:
๐Ÿ”ฅ 9,070mAh Battery
โšก 100W Fast Charging
๐Ÿ“ฑ 185Hz AMOLED Display
โ˜€๏ธ Hadi 4,500 nits brightness
๐Ÿ“ธ 200MP Main Camera
๐Ÿ”ญ 50MP Periscope + 5ร— Optical Zoom
๐Ÿš€ Snapdragon 8 Elite Gen 5
๐Ÿ”Š Bose-tuned 2.1-channel speakers.

๐—›๐—ถ๐—ถ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฝ๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐—ฟ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ธ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ฎ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ”ฅ ๐—จ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ถ๐—ป๐˜‚๐—ป๐˜‚๐—ฎ? ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘‡
 
View attachment 3646292

Kwa hii Redmi hapa Wamepitliza Aiseeh ๐Ÿ‘‹

Kuna simu mpya ya Redmi inakuja lakini uwezo wake sasa ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ, inaweza kuifanya iwe moja ya simu zenye battery kubwa zaidi kwenye flagship za mwaka huu.

Redmi K100 Pro Max 9,070mAh ๐Ÿ”‹ + 185Hz โšก kwenye simu moja?! ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ“ฑ inakuja ikiwa na battery kubwa sana, display ya 185Hz na 200MP camera! ๐Ÿ˜ณ

kwa ufupi tu:
๐Ÿ”ฅ 9,070mAh Battery
โšก 100W Fast Charging
๐Ÿ“ฑ 185Hz AMOLED Display
โ˜€๏ธ Hadi 4,500 nits brightness
๐Ÿ“ธ 200MP Main Camera
๐Ÿ”ญ 50MP Periscope + 5ร— Optical Zoom
๐Ÿš€ Snapdragon 8 Elite Gen 5
๐Ÿ”Š Bose-tuned 2.1-channel speakers.

๐—›๐—ถ๐—ถ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฝ๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐—ฟ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ธ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ฎ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ”ฅ ๐—จ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ถ๐—ป๐˜‚๐—ป๐˜‚๐—ฎ? ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘‡
Kampuni pendwa vp bei ikoje
 
Kama ni simu yenye battery kubwa sio maajabu maana kuna brand za kichina zina mpaka 20,000Mah kama Oukitel nk.labda sababu ya hiyo processor na brand kubwa kidogo kuliko wachina wengine!
 
Back
Top Bottom