AI BRAINFULL
JF-Expert Member
- Oct 31, 2019
- 1,533
- 3,858
Neno artificial intellency linaleta tafsili tata haswa kwa wataalamu wetu wa lugha ya kiswahi na viongozi wa serikali maana wengine husema ni akili bandia na wengine husema akili mnemba.
Sasa, mbona neno mnemba haiendani kwenye artificial intellegency?
Sasa, mbona neno mnemba haiendani kwenye artificial intellegency?