Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habarini wana jukwaa, Kuna case kadhaa kwa watumiaji wa WhatsApp Gb namba zao kupigwa burn wasiweze kutumia tena whatsApp hata hizo za kawaida. Hii inaeelezwa namba hizo zinafungiwa miaka 5 up...
8 Reactions
62 Replies
6K Views
Hatimae transition holdings wamiliki wa tecno, infinix, oraimo na itel wameshika nafasi ya tano kidunia kwa uuzaji simu, pengine miaka mitao ijayo wakashika namba Moja. Soma hapa Canalys: Global...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Wakati Teknolojia inazidi kushika Kasi ulimwenguni Sasa kampuni ya Precision Air imeleta njia Rahisi ya kukata tiketi, Sasa utakua na uwezo wa kukata tiketi za safari ya ndege kupitia mtandao wa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
WhatsApp waniban Namba yangu baada ya hapa nikawaomba kupitia email yao na wakanifungulia ila ajabu Kila nikitaka kulog in wananiambia kwamba situmii officially whatsApp na muda huo natumia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kule X ama Twitter Bwana mkubwa Tajiri namba moja Duniani, mmiliki wa makampuni ya Tesla, X, X.al, Boring Company, Space X na makampuni mengine mbali mbali alianzisha utaratibu wa kuwalipa...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni taarifa iliyotolewa na mmiliki wa Kampuni hiyo, Elon Musk ambaye amesema Twitter itaitwa 'X' na itapatikana kwa tovuti ya 'x.com', pia, 'Logo' ya Ndege wa Blue itaondolewa rasmi na kuanza...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakulu habari Kuna boya kaniwekea game kwenye PC lakini version yake ni ya zamani 1.18.1.3s nawezaje ipandisha ikawa 1.47 ya sasa au 1.48 inayotoka kesho
2 Reactions
5 Replies
688 Views
Kwa wale wapenzi wa hizi Smart watch, Samsung na Google hawana mpinzani. Designing zao ni za sayari nyingine kabisa. Binafsi navutiwa sana na hizi Smart watch za Android hasa kutoka Google na...
1 Reactions
6 Replies
853 Views
Nafikiri swali linajitosheleza.. Nitaweka na la nyongeza je naweza fanya online banking mfano najisajili online,natoa hela Skrill naweka bank then naihamishia kwenye simu is it possible...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna Gamer yoyote ambae ana collection ya PC games (2019 - 2020)? ninazo games kadhaa. kama tungeweza kubadilishana itakua poa. Don't tell me FIFA, GTA 5 and Call of Duty. XD
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Adhabu hiyo imetolewa na Mamlaka ya Ulinzi wa #TaarifaBinafsi ya Norway baada ya META kutoweka wazi jinsi inavyoingilia Faraga za Watumiaji wake kupitia Matangazo ya Biashara ============...
0 Reactions
1 Replies
945 Views
Link hii hapa (FIFA 17-STEAMPUNKS » SKIDROW-GAMES) Viwango vya pc vinavyotakiwa ni hivi hapa FIFA 17 system requirements Minimum OS: Windows 7/8.1/10 - 64-Bit CPU: Intel Core i3-2100 @ 3.1GHz or...
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Nimepata mtihani wa kufiwa na Solid State Drive (SSD) ya laptop yangu yenye 256GB storage capacity. Naomba msaada kwa mtu mwenye utaalamu wa kurecover files kwa namna yoyote ile an isaidie...
0 Reactions
0 Replies
385 Views
Nani aweza nisaidia Adobe Photoshop (Macos) with cracks au link naona za torrent zinanigomea wadau
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Wakuu naomba msaada wa kimawazo kwa wataalum wa sola na Bio gas. Nahitaji ku pump maji ya kisima kwa kutumia moja ya power source mojawapo kati ya sola au bio gas ila hizi source ni DC ila Mimi...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakuu kwema nyote, naomba nianze tatizo hili kuna jamaa kanunua flat screen na vile vichuma wakampa vya kuvungia ukutani, maana akisema aweke ikae kwenye meza anahofia watoto watasukuma. Sasa...
2 Reactions
25 Replies
7K Views
Naomba kujua kama inawezekana kujitoa WhatsApp group bila members kujua.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau wa mobile development (Android & iOS) kuna anaye tumia Flutter humu kutengeneza app zake? Flutter inaonekana kama strong competitor to React Native na Xamarin kwa sasa
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Simu yako imeingia maji?, spika yako inatoa sauti ambayo huipendi? sawa pole kwa changamoto hiyo karibu hapa kwa suluhisho. Usipeleke simu kwa fundi kwanza, wala usiweke kwenye mchele. Kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu habarini za majukumu. Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, nataka mtaalamu tajwa. Connent nitaziandika mwenyewe, yeye kazi yake ni kui-design kwenye MailChimp na kushare na...
0 Reactions
6 Replies
657 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…