Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Haya macoder Fursa hiyo changamkieni
1 Reactions
1 Replies
482 Views
Huduma ya mtandao ya Starlink imeanza kupatikana nchini kenya kwa taarifa iliyotolewa na Bilionea Elon Musk. Tanzania Nape alisema Musk hajatimiza vigezo.
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Hapa nafanyaje wana IT inanisumbua sana
1 Reactions
4 Replies
516 Views
Ni kawaida yangu kufanya doria kwenye mifumo ya ndani na nje nikijifua kwenye suala zima la penetration, Mwezi huu nimekua nikideal na mufumo ya vyuo hasa upande wa matokeo na sekta nyingine ...
0 Reactions
2 Replies
376 Views
Mengi na wengi wameshazungumza sana na kuandika sana kuhusu umuhimu wa huduma ya Paypal kwa nchi yetu. Ajabu, kila kampuni mpya ya Fintech inakuja almost inafanya kama yule mwenzake hakuna...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa wateja wa hii huduma he mnakumbana na tatizo la transactions kulipia huduma za mtandao . Mimi kwangu Ina goma kila wakati haiwezi lipo tatizo sijui ni nini? na Voda wamekaa kimya Nilifuta...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd. laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
KITUNZA UMEME (POWER BANK) Wanajamvi habari? Wakati tunasubiri kuhudhuria mafunzo yetu ya electronics mwezi huu,karibuni katika ubunifu huu mwingine bila shaka waweza kuwa na tija kwa...
5 Reactions
43 Replies
12K Views
Moja ya sababu iliyo nifanya kutojifunza flutter ni matumizi ya Dart. Mostly tukiwa tunafanya project mpya tunafanya programming languages evaluation hii process inatupa muongozo wa kuchagua...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Jana nikiwa kwenye mwendokasi nikitokea morocco,nikapokea simu ya client mmoja anamiliki duka la simu na computer hapo posta. Anazo pesa kwelikweli. Simu ilikuwa ya wito wa kazi ya kudesign na...
29 Reactions
78 Replies
5K Views
The South Korean government announced on Wednesday that it plans to invest over 1.2 trillion won ($900 million) in artificial intelligence development in 2024. The investment is part of the...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
''GB WhatsApp'' ni toleo la WhatsApp lililoboreshwa kutoka WhatsApp halisia na kuongezewa vitu vya ziada kama vile Kuficha kitiki pale ujumbe unapofika, kuona ujumbe uliofutwa, kuona status...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Elfu 5, Yes! wala sijakosea ni 5,000. Nimeenda sehemu namkuta graduate wa computer science anapiga window kwa elf 5, like seriously guys? Mtu kasoma chuo kwa mamilioni halafu atoe huduma kwa...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa Apple imetangaza kuwa mfumo wa uendeshaji wa iOS 17 utapatikana kwenye simu za iPhone XS na kuendelea kumaanisha kwamba usaidizi umeondolewa kwa iPhone 8, iPhone 8 Plus, na iPhone X...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nilikuwa Naomba mnifundishe jinsi ya kutengeneza hat file
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna baadhi yetu tunapenda kujaribu operating system tofauti kwenye android zetu, si kila mtu mwenye uwezo wa kumiliki iphone, au kupata kila model ya simu, mfano mtu ana android version...
2 Reactions
27 Replies
8K Views
Yani toleo jipya la iphone lilozinduliwa usiku wa Afrika Mashariki tarehe 12 mwezi wa 9 sijaona la maana zaidi ya kueleza ubora wa kamera tu. Simu nyingi zinapoteza soko zikidili na kamera tu
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Solar panel ya 100watts yenye cells 36 huwa inakuwa na voltage ya 18volts(Vmp) na current ya 5.55Amps (Imp).ila formula ya power ni sawa na kuchukua Vmp ร— Imp ambapo 18v ร— 5.55=100watts. Kwahiyo...
16 Reactions
33 Replies
37K Views
Nilinunua flash drive Ali express ya 64 GB iliandkwa usb 2.0 Alafu Nika nunua tena flash drive ya Lenovo 256 GB hii iliandkwa usb 3.0 Pia nilinunua OTG ambayo ilikua na sehemu ya (adapter...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ