Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,021
- 26,337
Kwa wateja wa hii huduma he mnakumbana na tatizo la transactions kulipia huduma za mtandao .
Mimi kwangu Ina goma kila wakati haiwezi lipo tatizo sijui ni nini? na Voda wamekaa kimya
Nilifuta kadi nikatengeneza ingine lakini Tatizo liko vile vile
Je, wamesitisha huduma hii?
Je, Kuna tatizo la kiufundi?
Jaribu na wewe utupe mrejesho?
Mimi kwangu Ina goma kila wakati haiwezi lipo tatizo sijui ni nini? na Voda wamekaa kimya
Nilifuta kadi nikatengeneza ingine lakini Tatizo liko vile vile
Je, wamesitisha huduma hii?
Je, Kuna tatizo la kiufundi?
Jaribu na wewe utupe mrejesho?