Je solar panel ya 100watts unaweza kutumia vifaa gani?

Je solar panel ya 100watts unaweza kutumia vifaa gani?

cyber ghost

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2015
Posts
239
Reaction score
162
Solar panel ya 100watts yenye cells 36 huwa inakuwa na voltage ya 18volts(Vmp) na current ya 5.55Amps (Imp).ila formula ya power ni sawa na kuchukua Vmp × Imp ambapo 18v × 5.55=100watts.
Kwahiyo hapa tunachotakiwa kujua ni kwamba hii solar panel ikikaa juani kwa muda fulani itatengeneza power kiasi gani? Hapa tunatakiwa kuhusisha masaa ya jua kali ambapo yanatofautiana sehemu moja na sehemu nyingine lakini kwa kwa Tanzania sehemu nyingi tunapata masaa ya jua matano(5PSH) ambapo yanakua ni masaa ambayo panel itaweza kutengeneza power ya 1000w/m² kwenye STC.Piq solar panels kwa Tanzania ninatakiwa ziwekwe kwenye angle kati ya 10°-15° kuangalia upande wa kaskazini.
Kwahiyo kwa masaa matano(5PSH) panel ya 100watts inaweza kuzalisha 100watts × 5hours= 500Wh.
Lakini inabidi ukumbuke huu umeme utasafiri kutoka mahali panel ulipoiweka kwenda kwenye vifaa vyako kwahiyo kutakuwa na upotevu wa umeme kutokana na ;
1: solar panel manufacturing tolerance
2: voltage drop in cables
3:dust on the surface of the panel
4: inverter efficiency
5:losses through the charge controller.
So ukizingatia vitu vyote hivyo hapo juu tunaweza kadiria kuwa na losses zisizopungua 20%, kwahiyo tutaingiza haya mahesabu kwenye solar panel yetu ambapo utachukua 500Wh × 0.80= 400Wh, kwahiyo baada ya kuzingatia losses zote hizo, umeme utakaofika kwenye vifaa vyetu ni 400Wh. Hii power inayozalishwa inabidi ihifadhiwe kwenye battery kuja kutumika baadae wakati ikihitajika. Pia itahitajika charge controller ili kuweza kuchaji betri katila kiwango kinachohitajika bila kuharibu betri, solar panel ya 100watts huwa inakuwa na short circuit current ya 6.06A hii unatakiwa kuizidsha kwa 1.25 kupata size ya charge controller, so 6.06A×1.25=7Amps,kwahiyo utatakiwa kuwa na charge controller ya 7A.
Kujua size ya battery unatakiwa kuchukua power inayozalishwa na panel halafu ugawanye kwa volt za betri ambazo ni 12v, so 400Wh/12v=33.33Ah.
Betri zinazotumika kwenye solar system huwa ni deep cycle batteries ambazo hazitakiwi kuwa discharged more than 50% of its capacity, kwa hiyo size ya betri tuloipata inabidi kuizidisha mara mbili ili kupata betri ambalo litahifadhi mara mbili zaidi ya power itakayotumika so i will be using half of the power.
So 33.33Ah × 2=66.66Ah but storage capacity ya betri inabadilika based on temperature hii unaweza kuona kwenye betri data sheet so tufanye betri hili limeweka kwenye room yenye 60°F, the deration factor is 1.11, kwahiyo utachukua ile size ya betri ilopatikana uzidishe kwa hii factor ya temperature 66.66Ah×1.11=73.9926Ah ila dukani utachukua betri la 75Ah.
So with 400Wh unaweza kutumia;
1:tablet 7w ×4h=28Wh
2:cell phone 5w ×8hrs=40Wh
3😛rinter 75w ×1hr=75Wh
4:led bulbs 10w ×12hrs=120Wh
5:laptop 45w ×2hrs=90Wh
Total= 353Wh
Prepared by engineer cyber ghost
 
Nitakutafuta kaka unisaidie kujua nitatumia sola yenye ukubwa gani itayoweza kusukuma freezer kwa masaa 8...
 
Nimeupenda huu uchambuzi.
Lakn mbona wengine tuna vifaa vikubwa lkn moto Mdogo?
Mfano
Panel 300w
Battery 120w
Matumizi.
Chaji simu na betr 30 kwa siku.
Working hours... 14.
Lakini haifiki hiyo 14 inaishia 10-12.
Nn shida
 
Nimeupenda huu uchambuzi.
Lakn mbona wengine tuna vifaa vikubwa lkn moto Mdogo?
Mfano
Panel 300w
Battery 120w
Matumizi.
Chaji simu na betr 30 kwa siku.
Working hours... 14.
Lakini haifiki hiyo 14 inaishia 10-12.
Nn shida
Kwa system yako kuishia masaa 10 ni sawa kabisa maana kucjaji simu huwa inakadiriwa kutumia power ya 5watts na smartphone moja inaweza kutumia masaa manne au matatu mpaka kujaa full pia kucharge hizo battery 30 nazo zitakuwa hivyo hivyo 5watts×30×3hours=450wh sasa ukija kwenye hizo simu ambazo zinakuja kuchajiwa ambazo hujataja idadi yake nazani nazo zinaweza kuzidi hiyo power inayotumika kuchaji betri kwa kobe ,pia jua panel ya 300watts ukiweka na losses za cable,charge controller, inverter na panel yenyewe utajikuta umebakiwa na 300watts × 0.8=240watts, ukija ukizidisha na masaa ya jua kali masaa matano 240watts × 5hours=1200wh sasa kwenye hii power toa 450wh unayotumia kucharge betri 30 kwa kobe, 1200-450=750wh hiyo power inayobaki ndio utakayoitumia kuchajia hizo simu ambazo idadi yake siijui. Pia kitu kingine unachotakiwa kukijua ni kwamba unapoiacha charger kwenye umeme wakati simu umeshaitoa huwa kuna power kidogo ambayo huwa inaendelea kupotea ambayo tunaiita vampire power kwahiyo hii bado itaendelea kula charge ya betri yako. Pia kama unacharge tablets zenyewe huwa zinakuwa na charger ya 7-8watts kwahiyo zinatumia power kubwa kuliko simu za kawaida, kwa ninavyoona hiyo system yako kama unacharge simu kama 30 na betri 30 halafu betri likaisha baada ya masaa 10 ni sawa kabisa. Pia kitu kingine ambacho watu huwa hawazingatii ni efficiency ya inverter unayoitumia hii ndio inayomaliza betri kwa haraka zaidi kama itakuwa na efficiency ndogo, hakikisha inverter unayoitumia efficiency yake sio chini ya 90% hii huwa inakuwa imeandikwa kwenye inverter yenyewe, pia usipende kutumia inverter zilizotengenezwa mtaani maana zile zinakuwa na losses kibao na efficiency yake huwa haijulikani.
 
Solar panel ya 100watts yenye cells 36 huwa inakuwa na voltage ya 18volts(Vmp) na current ya 5.55Amps (Imp).ila formula ya power ni sawa na kuchukua Vmp × Imp ambapo 18v × 5.55=100watts.
Kwahiyo hapa tunachotakiwa kujua ni kwamba hii solar panel ikikaa juani kwa muda fulani itatengeneza power kiasi gani? Hapa tunatakiwa kuhusisha masaa ya jua kali ambapo yanatofautiana sehemu moja na sehemu nyingine lakini kwa kwa Tanzania sehemu nyingi tunapata masaa ya jua matano(5PSH) ambapo yanakua ni masaa ambayo panel itaweza kutengeneza power ya 1000w/m² kwenye STC.Piq solar panels kwa Tanzania ninatakiwa ziwekwe kwenye angle kati ya 10°-15° kuangalia upande wa kaskazini.
Kwahiyo kwa masaa matano(5PSH) panel ya 100watts inaweza kuzalisha 100watts × 5hours= 500Wh.
Lakini inabidi ukumbuke huu umeme utasafiri kutoka mahali panel ulipoiweka kwenda kwenye vifaa vyako kwahiyo kutakuwa na upotevu wa umeme kutokana na ;
1: solar panel manufacturing tolerance
2: voltage drop in cables
3:dust on the surface of the panel
4: inverter efficiency
5:losses through the charge controller.
So ukizingatia vitu vyote hivyo hapo juu tunaweza kadiria kuwa na losses zisizopungua 20%, kwahiyo tutaingiza haya mahesabu kwenye solar panel yetu ambapo utachukua 500Wh × 0.80= 400Wh, kwahiyo baada ya kuzingatia losses zote hizo, umeme utakaofika kwenye vifaa vyetu ni 400Wh. Hii power inayozalishwa inabidi ihifadhiwe kwenye battery kuja kutumika baadae wakati ikihitajika. Pia itahitajika charge controller ili kuweza kuchaji betri katila kiwango kinachohitajika bila kuharibu betri, solar panel ya 100watts huwa inakuwa na short circuit current ya 6.06A hii unatakiwa kuizidsha kwa 1.25 kupata size ya charge controller, so 6.06A×1.25=7Amps,kwahiyo utatakiwa kuwa na charge controller ya 7A.
Kujua size ya battery unatakiwa kuchukua power inayozalishwa na panel halafu ugawanye kwa volt za betri ambazo ni 12v, so 400Wh/12v=33.33Ah.
Betri zinazotumika kwenye solar system huwa ni deep cycle batteries ambazo hazitakiwi kuwa discharged more than 50% of its capacity, kwa hiyo size ya betri tuloipata inabidi kuizidisha mara mbili ili kupata betri ambalo litahifadhi mara mbili zaidi ya power itakayotumika so i will be using half of the power.
So 33.33Ah × 2=66.66Ah but storage capacity ya betri inabadilika based on temperature hii unaweza kuona kwenye betri data sheet so tufanye betri hili limeweka kwenye room yenye 60°F, the deration factor is 1.11, kwahiyo utachukua ile size ya betri ilopatikana uzidishe kwa hii factor ya temperature 66.66Ah×1.11=73.9926Ah ila dukani utachukua betri la 75Ah.
So with 400Wh unaweza kutumia;
1:tablet 7w ×4h=28Wh
2:cell phone 5w ×8hrs=40Wh
3😛rinter 75w ×1hr=75Wh
4:led bulbs 10w ×12hrs=120Wh
5:laptop 45w ×2hrs=90Wh
Total= 353Wh
Prepared by engineer cyber ghost
Kufunga vifaa vyote ulivyoainisha kwenye ujumbe wako, inahitaji gharama kiasi gani???
 
Habari zenu wadau wapi naweza pata Solar Unit ambayo
1. Inaweza run pump ya kisima (iliyozamIshwa )
2. Bulb zisizozidi 6
Nataka kujua ni watts ngapi zitatosheleza ?
Na solar panel za ukubwa gani zitatosha ?
Jee itagharimu kiasi gani ?
HP 2. Kisima urefu 70m
 
Solar panel ya 100watts yenye cells 36 huwa inakuwa na voltage ya 18volts(Vmp) na current ya 5.55Amps (Imp).ila formula ya power ni sawa na kuchukua Vmp × Imp ambapo 18v × 5.55=100watts.
Kwahiyo hapa tunachotakiwa kujua ni kwamba hii solar panel ikikaa juani kwa muda fulani itatengeneza power kiasi gani? Hapa tunatakiwa kuhusisha masaa ya jua kali ambapo yanatofautiana sehemu moja na sehemu nyingine lakini kwa kwa Tanzania sehemu nyingi tunapata masaa ya jua matano(5PSH) ambapo yanakua ni masaa ambayo panel itaweza kutengeneza power ya 1000w/m² kwenye STC.Piq solar panels kwa Tanzania ninatakiwa ziwekwe kwenye angle kati ya 10°-15° kuangalia upande wa kaskazini.
Kwahiyo kwa masaa matano(5PSH) panel ya 100watts inaweza kuzalisha 100watts × 5hours= 500Wh.
Lakini inabidi ukumbuke huu umeme utasafiri kutoka mahali panel ulipoiweka kwenda kwenye vifaa vyako kwahiyo kutakuwa na upotevu wa umeme kutokana na ;
1: solar panel manufacturing tolerance
2: voltage drop in cables
3:dust on the surface of the panel
4: inverter efficiency
5:losses through the charge controller.
So ukizingatia vitu vyote hivyo hapo juu tunaweza kadiria kuwa na losses zisizopungua 20%, kwahiyo tutaingiza haya mahesabu kwenye solar panel yetu ambapo utachukua 500Wh × 0.80= 400Wh, kwahiyo baada ya kuzingatia losses zote hizo, umeme utakaofika kwenye vifaa vyetu ni 400Wh. Hii power inayozalishwa inabidi ihifadhiwe kwenye battery kuja kutumika baadae wakati ikihitajika. Pia itahitajika charge controller ili kuweza kuchaji betri katila kiwango kinachohitajika bila kuharibu betri, solar panel ya 100watts huwa inakuwa na short circuit current ya 6.06A hii unatakiwa kuizidsha kwa 1.25 kupata size ya charge controller, so 6.06A×1.25=7Amps,kwahiyo utatakiwa kuwa na charge controller ya 7A.
Kujua size ya battery unatakiwa kuchukua power inayozalishwa na panel halafu ugawanye kwa volt za betri ambazo ni 12v, so 400Wh/12v=33.33Ah.
Betri zinazotumika kwenye solar system huwa ni deep cycle batteries ambazo hazitakiwi kuwa discharged more than 50% of its capacity, kwa hiyo size ya betri tuloipata inabidi kuizidisha mara mbili ili kupata betri ambalo litahifadhi mara mbili zaidi ya power itakayotumika so i will be using half of the power.
So 33.33Ah × 2=66.66Ah but storage capacity ya betri inabadilika based on temperature hii unaweza kuona kwenye betri data sheet so tufanye betri hili limeweka kwenye room yenye 60°F, the deration factor is 1.11, kwahiyo utachukua ile size ya betri ilopatikana uzidishe kwa hii factor ya temperature 66.66Ah×1.11=73.9926Ah ila dukani utachukua betri la 75Ah.
So with 400Wh unaweza kutumia;
1:tablet 7w ×4h=28Wh
2:cell phone 5w ×8hrs=40Wh
3😛rinter 75w ×1hr=75Wh
4:led bulbs 10w ×12hrs=120Wh
5:laptop 45w ×2hrs=90Wh
Total= 353Wh
Prepared by engineer cyber ghost
Very Infomative thread!!

Kujua size ya battery unatakiwa kuchukua power inayozalishwa na panel halafu ugawanye kwa volt za betri ambazo ni 12v, so 400Wh/12v=33.33Ah.
SWALI LA KWANZA: Hapo kwenye bold, Tumeshapata Energy itakayo zalishwa na panel kwa masaa 5 (as per PSH) ambayo ni 400Wh.

Je ni kwanini tutumie 12V kwenye kutafuta size of battery? kwanini tusitumie Vmp (18Volts)? yaani iwe 400Wh/18V = 22.22Ah?

solar panel ya 100watts huwa inakuwa na short circuit current ya 6.06A hii unatakiwa kuizidsha kwa 1.25 kupata size ya charge controller, so 6.06A×1.25=7Amps,kwahiyo utatakiwa kuwa na charge controller ya 7A.

SWALI LA PILI:
Hapo kwenye bold, kwanza kwanini tunazidisha kwa 1.25? Pili kwenye hii case tungekua na pannel kumi ingekua sahihi mtu angefanya hivi... 6.06A*1.25*10 = 80Amps (Approx.)?

1:tablet 7w ×4h=28Wh
2:cell phone 5w ×8hrs=40Wh
3😛rinter 75w ×1hr=75Wh
4:led bulbs 10w ×12hrs=120Wh
5:laptop 45w ×2hrs=90Wh
Total= 353Wh
SWALI LA TATU: Kwa kutumia hizi data, Je incase nataka tafuta size ya inverter inayo hitajika nitakua sahihi nikifanya hivi:

Power = 7w + 5w + 75w + 10w + 45w = 142 Watts

Alafu nikafanya hivi...

Assume inverter ina efficiency ya 80%, then...

142Watts/0.8 = 177.5 Watts

Then nikasema pamoja na surge loads and othe factors size ya inverter iwe 177.5Watts*1.5 = 266.25Watts yaani nichague inverter yenye uwezo not less than 266Watts! Je nitakua sahihi?


Thanks in advance!
 
SWALI LA TATU: Kwa kutumia hizi data, Je incase nataka tafuta size ya inverter inayo hitajika nitakua sahihi nikifanya hivi:
kama wewe ni 'electronics tinkerer' mzuri unaweza uka tweak na 'power supplies' za izo printer na laptop charger, ukafanya itumie DC power moja kwa moja, ukaachana na inverter, hutajutia

utaongeza 'running hours' za battery mara dufu

solar panel > charge controller > battery > DC load

then the rest nyingi DC zake zipo ie: kuna LED lights za DC kibwena

Vinginevyo izo calculations zako ziko right kwa mda huo
ila zitakua invalid baada ya mda flani ( cause: battery kua 'de rated' )
 
kama wewe ni 'electronics tinkerer' mzuri unaweza uka tweak na 'power supplies' za izo printer na laptop charger, ukafanya itumie DC power moja kwa moja, ukaachana na inverter, hutajutia

utaongeza 'running hours' za battery mara dufu

solar panel > charge controller > battery > DC load

then the rest nyingi DC zake zipo ie: kuna LED lights za DC kibwena

Vinginevyo izo calculations zako ziko right kwa mda huo
ila zitakua invalid baada ya mda flani ( cause: battery kua 'de rated' )
Thanks for answer mkuu! Too bad siko kwenye sana kwenye "tonics"!! Wazo lako ntalifanyia kazi kiongozi!!
 
Solar panel ya 100watts yenye cells 36 huwa inakuwa na voltage ya 18volts(Vmp) na current ya 5.55Amps (Imp).ila formula ya power ni sawa na kuchukua Vmp × Imp ambapo 18v × 5.55=100watts.
Kwahiyo hapa tunachotakiwa kujua ni kwamba hii solar panel ikikaa juani kwa muda fulani itatengeneza power kiasi gani? Hapa tunatakiwa kuhusisha masaa ya jua kali ambapo yanatofautiana sehemu moja na sehemu nyingine lakini kwa kwa Tanzania sehemu nyingi tunapata masaa ya jua matano(5PSH) ambapo yanakua ni masaa ambayo panel itaweza kutengeneza power ya 1000w/m² kwenye STC.Piq solar panels kwa Tanzania ninatakiwa ziwekwe kwenye angle kati ya 10°-15° kuangalia upande wa kaskazini.
Kwahiyo kwa masaa matano(5PSH) panel ya 100watts inaweza kuzalisha 100watts × 5hours= 500Wh.
Lakini inabidi ukumbuke huu umeme utasafiri kutoka mahali panel ulipoiweka kwenda kwenye vifaa vyako kwahiyo kutakuwa na upotevu wa umeme kutokana na ;
1: solar panel manufacturing tolerance
2: voltage drop in cables
3:dust on the surface of the panel
4: inverter efficiency
5:losses through the charge controller.
So ukizingatia vitu vyote hivyo hapo juu tunaweza kadiria kuwa na losses zisizopungua 20%, kwahiyo tutaingiza haya mahesabu kwenye solar panel yetu ambapo utachukua 500Wh × 0.80= 400Wh, kwahiyo baada ya kuzingatia losses zote hizo, umeme utakaofika kwenye vifaa vyetu ni 400Wh. Hii power inayozalishwa inabidi ihifadhiwe kwenye battery kuja kutumika baadae wakati ikihitajika. Pia itahitajika charge controller ili kuweza kuchaji betri katila kiwango kinachohitajika bila kuharibu betri, solar panel ya 100watts huwa inakuwa na short circuit current ya 6.06A hii unatakiwa kuizidsha kwa 1.25 kupata size ya charge controller, so 6.06A×1.25=7Amps,kwahiyo utatakiwa kuwa na charge controller ya 7A.
Kujua size ya battery unatakiwa kuchukua power inayozalishwa na panel halafu ugawanye kwa volt za betri ambazo ni 12v, so 400Wh/12v=33.33Ah.
Betri zinazotumika kwenye solar system huwa ni deep cycle batteries ambazo hazitakiwi kuwa discharged more than 50% of its capacity, kwa hiyo size ya betri tuloipata inabidi kuizidisha mara mbili ili kupata betri ambalo litahifadhi mara mbili zaidi ya power itakayotumika so i will be using half of the power.
So 33.33Ah × 2=66.66Ah but storage capacity ya betri inabadilika based on temperature hii unaweza kuona kwenye betri data sheet so tufanye betri hili limeweka kwenye room yenye 60°F, the deration factor is 1.11, kwahiyo utachukua ile size ya betri ilopatikana uzidishe kwa hii factor ya temperature 66.66Ah×1.11=73.9926Ah ila dukani utachukua betri la 75Ah.
So with 400Wh unaweza kutumia;
1:tablet 7w ×4h=28Wh
2:cell phone 5w ×8hrs=40Wh
3😛rinter 75w ×1hr=75Wh
4:led bulbs 10w ×12hrs=120Wh
5:laptop 45w ×2hrs=90Wh
Total= 353Wh
Prepared by engineer cyber ghost
Mimi nina solar panel yenye cells 48 ikiwa na 150w pia battery ya 120w charge controller ya 30a! Swali langu endapo nitapata inverter je nitaweza ku run tv ya inch 32 yenye 45w, kin'gamuzi 15w, kwa masaa mangapi kwa kipindi cha jua kuchomoza na kabla ya kuzama?
 
Msaada wa kiufundi, nina solar Panel 150w bettry N100. Matumizi yangu kwa ujumla hayazidi Watt 120. Nimepata Inverter ya 750W. Je inafaa kwa matumizi hayo., je inveter haiongezi matumizi ya Betry?
 
Back
Top Bottom