Msaada watu wa IT

Msaada watu wa IT

Duh! Jifunze hata kwa kupitia youtube ndugu, hiyo haihitaji watu wa IT, hao wana mambo ya msingi ya kufanya.
 
ni taaluma hio ya udukuzi wa mitandao kuwazidi akili walioweka ukuta.

kama upo serious jifunze kwa wa indonesia, wafilipino na wabrazili huwa wanapenda mseleleko kama sisi maana nao hali za uchumi mbaya ila wana maarifa ya kuruka hizo kuta, ingia google uwe unatafsiri lugha zao.

Kwa marekani na ulaya hizi mambo hawanaga muda nazo wanaweza kumudu

Vinginevyo tulia kama sisi tu, tunasubiria watu waumize vichwa, wakiwa na wito wa ku share mafaili yao inakuwa baraka kwetu japo faili huwa halitoboi mwezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom