Mengi na wengi wameshazungumza sana na kuandika sana kuhusu umuhimu wa huduma ya Paypal kwa nchi yetu.
Ajabu, kila kampuni mpya ya Fintech inakuja almost inafanya kama yule mwenzake hakuna aliyethubutu kwenda extra mile. Wanaigana na kuzunguka hapohapo kila siku. Hivi huwa wanasoma reviews na comments na kuelewa customers & prospective customers wanachohitaji ? Swala la Paypal limekua ni kilio cha online entrepreneurs na diasporas kwa muda mrefu but nothing has been done so far.
Watu huko nje wanatushangaa na kutuona wa ajabu tena waajabu sana, how comes mpaka Karne na miaka hii hakuna huduma Kama Paypal , stripe, etc. Yani ni one way service. Unaruhusiwa kutuma ila huruhusiwi KUPOKEA. Ajabu! Maana yake, just be a consumer!
Halafu tunasema dunia imekuwa Kijiji changamkieni fursa. They can't think beyond WU & MG.
Ni wakati sasa japo tumechelewa, ministers wa sector husika na CEOs wa FinTech companies ku-step in.
Ngoja niishie hapa ila acha nikope maneno ya Ronald Reagan
Mr..... come, Open the gate &
Tear down this wall!
Ajabu, kila kampuni mpya ya Fintech inakuja almost inafanya kama yule mwenzake hakuna aliyethubutu kwenda extra mile. Wanaigana na kuzunguka hapohapo kila siku. Hivi huwa wanasoma reviews na comments na kuelewa customers & prospective customers wanachohitaji ? Swala la Paypal limekua ni kilio cha online entrepreneurs na diasporas kwa muda mrefu but nothing has been done so far.
Watu huko nje wanatushangaa na kutuona wa ajabu tena waajabu sana, how comes mpaka Karne na miaka hii hakuna huduma Kama Paypal , stripe, etc. Yani ni one way service. Unaruhusiwa kutuma ila huruhusiwi KUPOKEA. Ajabu! Maana yake, just be a consumer!
Halafu tunasema dunia imekuwa Kijiji changamkieni fursa. They can't think beyond WU & MG.
Ni wakati sasa japo tumechelewa, ministers wa sector husika na CEOs wa FinTech companies ku-step in.
Ngoja niishie hapa ila acha nikope maneno ya Ronald Reagan
Mr..... come, Open the gate &
Tear down this wall!