Of all the communities available to us there is not one I would want to devote myself to, except for the society of the true searchers, which has very few living...
Wanabodi icon za program za kwenye pc yangu zimebadilika na kuwa PDF icon, so ikufungua hiyo program au file aziugunguki zinafunguka kama PDF, Nimejaribu ku UNINSTALL PDF progms zikakarudi kawaida...
wadau wa jukwaa hili naombeni msaada laptop yang nikiizma inakaa muda mrefu sana kisha inazima kuna maneno inaandika window is updating please do not turn off your computer, kisha inaanza kuhesab...
Habari wana jamvi.
Simu tajwa hapo juu, takribani wiki nzima inasumbua intaneti. Tatizo lilianza baada ya kubadili laini. Nimejarbu kucheki kwenye application, proxy; Not set, Port; Not set...
Ninataka kununuwa Harrier, lakini kuna mdau mwenye uzoefu kaniambia Harrier siyo gari za kununuwa. Spare zake ni adimu pia zina tatizo la ku-knock engine. Je wakuu, hizi taarfa zina ukweli wowote...
Helow my People
Kuna katatizo haka nimekutana nako leo naka menikosesha TAKE HOME ya maana
Ni computer desktop inawaka afu kwenye screen inaonyesha Black lkn ukibonyeza
menu ya hiyo monitor...
Life companionMake your life richer, simpler, and more fun.
As a real life companion, the new Samsung GALAXY S4 helps bring us
closer and captures those fun moments when we are together.
Each...
wana jforum nielewesheni ni vipi naweza kuzifanya call zinazoingia katika line kama haipatikani au simu imezimwa kuingia katika call kuingia direct katika line nyengine?
Wakuu nimenunua server nataka kuinstall server ya windows na ubuntu zifanye kazi kwa wakati mmoja kwa kutumia vmware. nataka windows kwaajili ya application za kawaida na ubuntu kwaajili ya kuhost...
Habari Ndugu wana Jf,naomba msaada ovistore ya Nokia X2-01 inazingua kudownload kila nikiingia nikitaka kudownload inaniambia link not available try again.
Asante
Wana wa familia hii ya JF natumai mko poa,
Tafadhali naombeni kwa anayefahamu juu ya hili tatizo lililoikumba simu yangu ya Nokia101,nikiiwasha yanatokea maandishi ya LOCAL MODE basi halafu...
wana jf hebu nielewesheni katika simu nyingi ninazonunua katika call setting kuna huduma wanaita call waiting hivi maana yake ni nini na ina umuhimu gani?
Wataalamu,
Nimeletewa simu samsung ila kuna apps zinakuja na maneno ya kichina kwa mfano Opera,Browser yake(simu),na Apps nyingine ila sio zote
Thanks in advance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.