Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habarini ndugu zangu, Ninaomba kusaidiwa kutuma sms nyingi sana bila kuonesha namba yangu, ikiwezekana litokee jina tu nitakalolipenda. Natanguliza shukrani kwenu.
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanajamvi naomba msaada. Nimeibiwa simu,naomba msaada kama naweza kuitafuta kwa mtandao na kuipata.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Moja Kati ya vijana waliofanya mapinduzi makubwa ya teknolijia kwenye umri mdogo ni aliyekuwa Mkurugenzi wa kampuni ya Silicon Valley na Open Ai Mr Sam Altman amepokonywa cheo chake siku ya...
0 Reactions
3 Replies
555 Views
Morning Guys Naamini tupo sawia na wale wa Daslam mnajiandaa na bonge la party J'pili [emoji38][emoji38] Kichwa cha habari chahusu. Kama wewe ni mpenzi wa bus simulator Indonesia au mpenzi wa...
6 Reactions
112 Replies
37K Views
Naweza pata laptop nzuri kwajili ya kuendeshea websites/blogg kwa bajet ya 500000/=?
0 Reactions
1 Replies
254 Views
I learnt some new keyboard shortcuts as I was browsing the net today. Here are some of them, guys any one who knows any more shortcuts he /she can comment here. This is for the better of every one...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
๐—ง๐—ฒ๐—ธ๐—ป๐—ผ๐—น๐—ถ๐—ท๐—ถ๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—ถ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—”๐—ถ๐˜€๐—ฒ๐—ฒ๐—ฒ! Umeshawahi kuiona simu ambayo unaweza kutumia bila kuishika ?? Teknolijia inakwenda Kasi sana kuna kitu kinaitwa Humane Ai pin unakijua ?? Niazime dakika moja tu...
1 Reactions
3 Replies
876 Views
wataalam wa IT, hivi naweza weka window 11 kwenye hp elitebook g3 i7 touch screen 256ssd 8Ram kwa ku bypass na nikaweza pata updates pale itakapo leta new update? (Nb. TPM 1.2)
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba mwenye App ya kubadili sauti wakati wa kupiga simu tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakubwa zangu i hope mko powa, Nilikuwa nawaomba mnisaidie title ya project ya ICT itakayo husisha (html,CSS,PHP na MYSQL)
1 Reactions
1 Replies
521 Views
Google kufuta Gmail yako desemba Google imesema rasmi kuanzia desemba Moja mwaka huu 2023 itaanza kufuta email ambazo haziko active kwa Muda mrefu ikiwa hujaitumia email yako ndani ya Miaka...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu, Kwa tanzania mpaka sasa ni airtel pekee yake ndo ana huduma ya Esim, Vipi hii mtandao mingine mna mpango gani wa kuanzia huduma iyo?
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Teknolojia inazidi kukimbia na kila siku teknolojia mpya inatokea na kubadilika. Wiki hii katika kongamano la Mobile World Congress (MWC) 2023; teknolojia mpya ya iSIM ilitambulishwa rasmi na...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninataka kununua TV. Nimeenda dukani nikiwa nataka kununua brand new TV iwe Hisense, Samsung, LG, Alitop, Allyons etc (sikuwa na choice nilijipanga kwa yoyote ile). Nikiwa njiani, nikakutana na...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Msaada jamani. Simu imeibiwa. Nifanyeje niipate?
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Kampuni ya meta inayomiliki mitandao ya Whatsapp, Instagram, Facebook wametoa taarifa kuwa ujio wa watu kulipia ushuru kupitia matangazo ya Facebook. Meta imesema kuanzia tarehe 1 desemba 2023...
0 Reactions
1 Replies
357 Views
Nina Altonator ya gari. Kwenye hii Altonator Kuna haya maandishi. NISANI 23100 70N 12 V. Sasa, Nikaichukua Altonator Kisha nikafunga waya kutoka Kwenye bolt na Kisha nikafunga waya kutoka Kwenye...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Yani google ni majasusi waliokubuhu, Sina tatizo kwa google kutunza baadhi ya taarifa zangu kama cintacts zangu lakini kuna muda wanavuka mipaka kuchungulia hata visivyowahusu. Google chrome...
14 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari za hapa ndugu zanguni... Naomba kuuliza kwa anaefahamu namna ya kupata link ya image unapotaka kupost katika forum (natarajia wengi humu wanafahamu). Hasa kama picha ikiwa katika computer...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba kuuliza wakuu simu yangu ina gps haina GPRS, naomba kuuliza kama title inavosema kunauwezekano wa simu yangu kuwa na gprs
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ