Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,281
- 2,573
Google kufuta Gmail yako desemba
Google imesema rasmi kuanzia desemba Moja mwaka huu 2023 itaanza kufuta email ambazo haziko active kwa Muda mrefu ikiwa hujaitumia email yako ndani ya Miaka miwili itaondolewa.
Sababu kubwa ya kupunguza akaunti za Gmail
Ikiwa Email haijatumiwa kwenye mawasiliano yoyote Yani kwenye kutuma au kupokea email.
Ikiwa email haijawahi kutumia Google drive kwa Muda mrefu.
ikiwa email haijaunganishwa na YouTube Pia haijatumika kwenye huduma ya soko la play store kwa Muda mrefu.
email yako haitumiki kupakua kitu chochote kwenye soko la play store au app store nk
Ikiwa mtu ameunda email halafu hajatumia kwa Muda mrefu kufanya shughuli yoyote basi email yake itafutwa na Google. Email zote zitakazo futwa wiki mbili kabla hazijaondolewa watapokea taarifa ya kuhamisha vitu vyao muhimu kabla haijafutwa.
Google imesema rasmi kuanzia desemba Moja mwaka huu 2023 itaanza kufuta email ambazo haziko active kwa Muda mrefu ikiwa hujaitumia email yako ndani ya Miaka miwili itaondolewa.
Sababu kubwa ya kupunguza akaunti za Gmail
Ikiwa Email haijatumiwa kwenye mawasiliano yoyote Yani kwenye kutuma au kupokea email.
Ikiwa email haijawahi kutumia Google drive kwa Muda mrefu.
ikiwa email haijaunganishwa na YouTube Pia haijatumika kwenye huduma ya soko la play store kwa Muda mrefu.
email yako haitumiki kupakua kitu chochote kwenye soko la play store au app store nk Ikiwa mtu ameunda email halafu hajatumia kwa Muda mrefu kufanya shughuli yoyote basi email yake itafutwa na Google. Email zote zitakazo futwa wiki mbili kabla hazijaondolewa watapokea taarifa ya kuhamisha vitu vyao muhimu kabla haijafutwa.
