fadhili selemmani
New Member
- Feb 13, 2022
- 3
- 0
Naomba kuuliza wakuu simu yangu ina gps haina GPRS, naomba kuuliza kama title inavosema kunauwezekano wa simu yangu kuwa na gprs
Ndio mzee apo nimekupata swali langu simu je unaweza kuiwezesha gprs kama haina gprsKwanza unajua gprs ni nini? Na tofauti ya gprs na gps ni ipi, maana havina uhusiano.
gprs ni kwaajili ya data wakati gps inahusiana na location.