Salam wakuu, laptop yangu juzi ilicorupt ikabd ninunue low-end lap nyingine (toshiba satellite c660-15N). Iko fresh kimtndo, tatizo ni pale napo download HD movies (1080p blueray), ukiwa...
Hello.Kama kuna fundi anaeweza kunirekebishia hasa kufanya replacement screen ya Samsung Galaxy S3 Mini imepata crack(Sio LCD Screen) naomba aniPM au 0752385949.
Mtu mmoja amehack akaunti ya muanzilishi wa mtandao wa kijamii mkubwa kuliko yote duniani ili tu amwoneshe bug aliyoigundua baada ya kuwatumia barua pepe mainjinia wa facebook na kumpotezea, baada...
habari wakuu nlikuwa napitia mitandao ya kununua vitu online(ebay) sasa nikakuta vitu ni bei rahisi ajabu ,,sasa nilikwa nauliza hivi apo bandarini wana charge shilling ngap kukitoa kitu chako...
Mimi natumia huawei u8185 ascend y100 lakini tatizo ni kwamba imegoma kusomeka kwenye pc kila nikijalibu kuplug kwa pc. Pc inasema usb device not recognized naomba msaada wenu ili niweze kuinstall...
heshima zenu wana jf ninayo laptop ya dell ins 6000 hdd 60 gb ram 512mb ya kizamani kidogo hdd yake inaonyesha imekufa imekufa na niko mikoani,baada ya ku google inaonyesha max hdd capacity kwa...
Habari wakuu!
kuna taarifa kuwa kuna baadhi ya vifaa ukivinunua nje ya nchi huwa havina kodi. Pia kuna baadhi ya vitu hupokelewa POSTA na siyo Bandarini, naomba kujuzwa baadhi ya vitu...
habari wana Tech,kichwa cha habari hapo juu sijakiweka kama swali mtani wia radhi,nilitaka kujua endapo mtu akiamua kusoma maybe certification ya CCNA(CISCO) ,Concept in programming,orWeb...
Hello JF wataalamu!
Naomba kuelezewa kadri unavyofahamu kuhusu HACKING kwakuzingatia moja ya guidelines hizi hapa chini
-Maana
-How to hack
naomba kuwasilisha
nimejaribu kugoogle naona sipati majibu stahiki, kwa mwenye ufahamu naomba anipe mwongozo
1.What is the mechanism of digitized sound?
2. how does the computer reconstruct sound wave from a sample...
Wanajamvi,
Ninamba msaada. Hizi simu zina stack sana!
Sometimes unakuwa unafanya kazi na imagoma.
Zote zine external SD card zenye GB16
Natanguliza shukrani
Helloi JF wataalamu!
Naomba kuelezewa kadri unavyofahamu kuhusu HACKING kwakuzingatia moja ya guidlines hizi hapa chini
-Maana
-How to hack
naomba kuwasilisha
Wataalam,
nawezaje ku block unwanted calls kutoka kwa mtu ambae analeta usumbufu kwenye simu niliyoitaja hapa juu. Yaani nataka akipiga isomeke sipo hewani!! Maana ni kero sasa. Naomba msaada na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.