Nina kasimu kangu lakini sio ya kichina ni original Samsung GT-C3222,tatizo langu ni kwamba inashindwa kuplay baadhi ya video ninazo download kutoka You8 tube na waptric lakini ni baadhi ya video...
Kuna hili swala la vifurushi ambavyo vina dakika,SMS na mega bytes kutokana na ukweli kwamba sio wote ni watumiaji wa hizi SMS pamoja na MBs nadhani si vibaya waka classify upya hivi vifurushi...
wakuu kwa sasa natumia galaxy s2...sema ningetaka nibadilishane na jamaa yangu anipe iphone 4 ..sema cjawahi tumia iphone hapo awali. sababu ya kuitoa hii s2 ni charge na haiko stable na network...
Nimejaribu kutumia windows phone kuingia jf lakini napata matatizo lukuki. Kwanza nikitaka kureply keybord inatokea in a second inapotea. Siwezi kuandika. Na pia kwanini hakuna application ya jf...
Habarini wana-jf...ninatumia techno n3 (android 2.3.5),tatizo kubwa ni usumbufu katika kutuma message kuanzia trh 18 august kwa mtandao wa voda...kama kuna yeyote mwenye ujuzi wa kutatua hili...
Za weekend waheshimiwa. Kuna mtu ananisumbua sana kwa kunipigia simu mara kibao. Yaani anaweza nipigia hata mara 100 kwa siku. nmejaribu kumkataza lakini haelewi. Nilijaribu kuomba msaada kutoka...
wana JF,
Samahani naomba kuuliza eti kuna uwezekano wa kufunga AC system ambapo two indoors units zikashare one unit ya outdoor yaani labda moja unaifunga chumbani na nyingine sebuleni, au zote...
Wakuu
nisaidieni nimeinstall hii windows 8.1 preview na nimeiactivate online ila haitaki kuinstall program, nikitaka kuinstall inajaribu ila inaweza kutumia hata lisaa limoja ikiandika tu...
Habari.
Tokea swala la kila kampuni kuanza kutengeneza wanazoziita smartphone (kwa upeo wangu mdogo ningesema mwanzilishi akiwa apple, ktk iphone 2007) ambazo nyingi zao ni touch screen with few...
Heshima mbele wakuu,
nnahitaji print kazi yangu hapa,
lakin katika setup zangu kwenye kipengengele cha Header/Footer inagoma kupokea character zaidi ya 250,
wakati kuna kazi hapa ina character...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.