Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Urefu wa Miaka ya Dunia unabadilika kila baada Muda kipindi Cha Miaka ya dinosaur (wale wanyama wakubwa ulimwenguni) kulikua ni kipindi ambacho Dunia ilikua na masaa 23hrs. Mabadiliko ya Sayari...
1 Reactions
5 Replies
576 Views
Kuna ripoti inaonyesha toleo jipya la iOS 18 litakapo Toka litaweza kuwa na uwezo wa kuruhusu watu kuweza ku install app nje ya app store kwa urahisi. Mabadiliko haya yataweza kuifanya simu za...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu Mimi simu yangu natumia mtandao wa vodacom nikipigiwa wanasema namba imefungiwa kwa muda ila mimi kupiga napiga. Msaada wakuu ili niwe hewani.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kampuni ya mawasiliano ya simu nchini south Paratus wameshirikiana na waendeshaji wa Satellite ya Eutelsat wametangaza huduma ya mtandao wa satellite wa One web low Earth Orbit (Leo) nchini Afrika...
5 Reactions
5 Replies
772 Views
Kampuni kongwe ulimwenguni Nokia wataweza kuachia simu mpya ya Smartphone aina ya Nokia 1100. Ni simu ambayo iliwahi kuachiwa zamani ila sasa wameamua kuifanyia mabadiliko kuwa ya kipekee. Hata...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
salam wakuu. katika pitapita zangu hapa jamvini nimeona wadau wakigusia uwezekano wakufunga antena kwenye smart TV na ukatumia built in decoder kutazama baadhi ya chanel za ndani na za nje bila...
2 Reactions
132 Replies
26K Views
Kaa mkao wa kula kwa mapinduzi ya teknolojia! Makampuni duniani kote yanajiandaa kuleta vifaa vya kisasa kabisa. Wamevutiwa na makampuni yenye uvumbuzi, na wana hamu ya kuleta msisimko katika eneo...
0 Reactions
4 Replies
996 Views
Nilianza safari ya Youtube mwaka mmoja uliopita. Wiki iliyo pita nimefikisha 4000+ watch hours na subscribers zaidi ya 1000! Mpaka nakua monetized nlikua na jumla ya public videos 44 zenye...
21 Reactions
95 Replies
10K Views
Mwanzoni octoba android waliweza kuachia mfumo wao mpya wa android version 14 kwa simu za Google pixel na Samsung lakini kuanzia mwezi huu Novemba na kuendelea Android version 14 inaachiwa...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu, naendelea kujifunza vitu. Sasa sasa hivi najifunza ku interact na database. Nimeweza kuunda fomu hii kwa msaada wa HTML and CSS Na huu ndiyo code yangu ya HTML <!DOCTYPE html> <html...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
India imeendelea kufanya maajabu katika maendeleo yake ya ya kisayansi katika kuifikia anga ya juu kutokana na Kuvutiwa upya na sehemu ya anga kunaunda fursa za ukuaji wa maili milioni kwa...
0 Reactions
0 Replies
587 Views
Kwa isiwe kwa Watanzania au wengineo pia?!
2 Reactions
13 Replies
677 Views
Wakuu naomba kuuliza hizi virtual reality game huwa zinauzwa Bei gani?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi kuna uwezekano ukiwa katika Group la WhatsApp uka-block baadhi ya watu ili usione msg zao? Kwenye magroup kuna baadhi ya member msg zao zinakera.
2 Reactions
13 Replies
921 Views
Moja kati ya kichocheo kikubwa Cha msingi wa maendeleo ya kiuchimi ulimwenguni ni Umeme , nchi nyingi za kiafrika Zinajitahidi sana kufanya Kazi kwa bidi ili kuboresha miundo mbinu ya nishati...
1 Reactions
1 Replies
691 Views
Naomba kufahamu kwa undani yafuatayo!!! Internet ni nini? Nani mmiliki wa internet? Nini faida za internet? Nini hasara za internet?? Napenda sana kufahamu zaidi juu ya yote hayo, naomba...
2 Reactions
251 Replies
47K Views
Siku ya Alhamic kampuni ya meta kupitia mtandao wa Whatsapp wameweza kutambulisha mfumo mpya wa watu kuweza kutumia akaunti zaidi ya moja Kwenye simu. Sasa utaweza kuunda akaunti zaidi ya moja...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Whatsap wako Kwenye Majaribio ya kuleta uwezo wa watu kuficha utambulisho wao Kwenye Whatsapp. Whatsapp wanaongeza ulinzi kwa kuleta feature ya kuzuia watu kujua location yako wakati unatumia...
0 Reactions
5 Replies
712 Views
Nina shida na window ambayo haina shida Maana nahangaikia Window mwezi wasita huu. Jana kuna Window nimepata ila nikiconnect wifi PC inajizima, pia kila software nayo download inagoma kufunguka...
0 Reactions
7 Replies
633 Views
Habarini wakuu, Naomba msaada wa Data Recover ambazo kwa Bahati Mbaya nili fomati hivyo taarifa za kwenye Folder and Files zimepotea zote. Hivyo kama kuna namna au kuna Software inaweza...
0 Reactions
4 Replies
911 Views
Back
Top Bottom