Ni lazima uwepo kwenye hayo magroup? We left tu acha kujitesaHivi kuna uwezekano ukiwa katika Group la whatsapp ukablock baadhi ya watu ili usione msg zao?..kwenye magroup kuna baadhi ya member msg zao zinakera
Haiwezekani kitu kama ichoHivi kuna uwezekano ukiwa katika Group la WhatsApp uka-block baadhi ya watu ili usione msg zao? Kwenye magroup kuna baadhi ya member msg zao zinakera.
bado feature hio haijawekwa ila itawekwa usihofuHaiwezekani kitu kama icho
Hakuna sms wasapuPole mkuu hao wapuuzi wasikutese, piga bia mbili uwachane laivu kuwa SMS zao nizakiboya na zimepitwa na wakati😆
Huenda hawajui kosa lao
Zile ni text...Acha Masihara basi
Maandishi...Hizo Text kwa kiswahili zinaitwaje