na wasomi wa mambo ya technologies jobless ni wengi kule..Hao jamaa ni hatari kuna yule dogo kwenye America's got talent alikuwa anasema yeye ni human calculator 😆😆Wahindi wapo vizuri sana mathematics na IT, Computer programming, engineering ya makorokoro kibao ya technology n.k na hayo mambo bila hesabu hutoboi...
Kingine, India population ni zaidi ya 1.42 billion yaani kuna Tanzania zaidi ya 21 kwenye Indiana wasomi wa mambo ya technologies jobless ni wengi kule..![]()
Hao jamaa ni hatari kuna yule dogo kwenye America's got talent alikuwa anasema yeye ni human calculator
Anajibu fasta mpaka point ndani ya sekunde hata umwambie 5700×689.

noma sana man..Mkuu umetupeleka hapa.Anajibu fasta mpaka point ndani ya sekunde hata umwambie 5700×689.
Jamaa anajibu mzee 😅😅huyo ni human calculator na wapo wengi hao ...Mbona palikuwa na mtu mweusi alikuwa na uwezo huo kipind cha utumwa .Mkuu umetupeleka hapa.
Hao ni wafanyakazi kama wafanyakazi wengine, wahindi wengi ni Managers wazuri, ila wamiliki wa hizo Kampuni ndio wanaoziendesha vizuri.Kwa isiwe kwa Watanzania au wengineo pia?!View attachment 2826460