Abdclassic
Member
- Jul 13, 2017
- 85
- 35
Nina shida na window ambayo haina shida Maana nahangaikia Window mwezi wasita huu.
Jana kuna Window nimepata ila nikiconnect wifi PC inajizima, pia kila software nayo download inagoma kufunguka au inaweza kufunguka ila ukizima.
PC ukiwasha ishaliwa yaani Nimateso na Antivirus nikifunga bado kimeseji cha kuclean kinakuja.
Jana kuna Window nimepata ila nikiconnect wifi PC inajizima, pia kila software nayo download inagoma kufunguka au inaweza kufunguka ila ukizima.
PC ukiwasha ishaliwa yaani Nimateso na Antivirus nikifunga bado kimeseji cha kuclean kinakuja.