Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kwema bandugu? Hata sina maneno mengi kwenye hili... Kama title inanyojieleza naomba kufahamishwa ni nani au akina nani? Waliotengeneza App ya Cheka Plus? Natanguliza shukurani.
3 Reactions
33 Replies
3K Views
1. Washa hotspot yako ili uweze kuunga simu yako na computer/ laptop hii ni free haihitaji kuwa na data/ bando kwenye simu yako 2.ingia kwenye Xender yako gusa neno Connect to PC itakupeleka...
6 Reactions
14 Replies
3K Views
Morocco 🇲🇦 - 1954 Algeria 🇩🇿 - 1956 Nigeria 🇳🇬 - 1959 Egypt 🇪🇬 - 1960 Zimbabwe 🇿🇼 - 1960 Zambia 🇿🇲 - 1961 Congo 🇨🇬 - 1962 Ethiopia 🇪🇹 - 1962 Kenya 🇰🇪 - 1962 Sudan 🇸🇩 - 1962 Sierra Leone...
0 Reactions
4 Replies
522 Views
Nahitaji kuverify location skrill kila document ninayo upload inakataliwa nani anaweza nipa ujanja
0 Reactions
120 Replies
16K Views
Hizi simu bana Bora uchukue zako Infinix au Samsung, Nimeinunua miezi 6 iliyopita. Lakini shida iianza Jana inawaka Lakini mwanga unakuwa hafifu saaana, Mwisho kabisa ikazima jumla mwanzo nilijua...
10 Reactions
41 Replies
10K Views
Je wewe ni muhanga wa kufungiwa kutumia Whatsapp Kwenye simu yako na kila ukijiunga Whatsapp lazima upigwe ban ? Unafanyaje kujiondoa? Wengi wanajiuliza inakuwaje imenitokea hii inakutokea kwa...
8 Reactions
7 Replies
3K Views
𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶𝗻𝗶 𝘇𝗮 𝗺𝘂𝗱𝗮 𝗵𝘂𝘂 𝘄𝗮𝗸𝘂𝘂! Natumai asilimia kubwa mtakuwa mmeshuhudia wimbi kubwa la watu wanaolalamika kufungiwa namba zao za Whatsapp kutokana na kutotumia Official Whatsapp App Watumiaji...
11 Reactions
45 Replies
4K Views
Tanzania ina kiwango kikubwa cha kodi na ushuru inaotoza kwenye simu za mkononi ikilinganishwa na mataifa mengine duniani. Viwango hivyo vinaelezwa kuwa juu kuliko mataifa mengi ya kusini mwa...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Nina masomo mengi sana naona kabisa naweza kushea na Jamii Sasa nataka ni upload YouTube na kwenye MITANDAO ya kijamii. Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza natakaiwa kuwa na vifaa gani?! NB...
1 Reactions
4 Replies
550 Views
Eneo niriropo ni la milima milima unaweza kukaa ndani mtandao haukamati kabisa ukatoka nje ukapanda tu ngazi mtandao unapanda Au ukashuka tu kidogo mtandao unajaa Hapa airtel na tigo hazishiki...
1 Reactions
7 Replies
692 Views
Nyingi zimepita kama Pirate bay, kat.ph na nyinginezo lakini nyingi zimefungiwa, Ipi inatumika 2024 bila kukudai Vpn na kukuletea vitu tofauti na ulivyoomba? Toka asubuhi najaribu jaribu bado...
2 Reactions
9 Replies
723 Views
Natuma code *#61# Kwenye simu yangu inaleta ujumbe huu[emoji116] Sidukuliwi kweli?
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Nilinunua mini fuel pump kutoka china kwa malengo ya kuanzisha kituo kidogo cha uuzaji wa mafuta huku vijijini ninapofanyia kazi. Nimekumbana na tatizo la kwamba hii mashine ilitengenezwa kwa...
0 Reactions
9 Replies
608 Views
Huu ni wakati wa uchaguzi kuna blogu nyingi zinazoripoti na kutoa habari zingine za uchaguzi wetu ndani ya nchi na nje watu wamejiunga kwenye blogu hizi , majukwaa na hata wengine kufuatilia watu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu. Nimekumbwa Na tatizo la kutopokea WhatsApp code kwa wiki moja sasa naomba msaada wenu jamani Maana kila nikijaribu inanionesha hivyo 😰😭
0 Reactions
0 Replies
389 Views
Wakuu nahitaji msaada kwa mwenye ujuzi na uwelewa wa hii kitu Nimefunga Router Ile ya WIFI Nimeifunga Dukani kwangu Nia na madhumuni Nisambazie watu ili nipige walau buku buku kwa kila mtu,Naweza...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka Nataka kutuma sms kwa watu wengi kila mtu na sms yake Nimeshatengeneza excel file yenye collum Jina|Phone number|SMS Ujumbe upo tayari tatizo ni jinsi kutuma...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Moja kati ya misingi mitatu ya usalama wa mifumo ya TEHAMA (System security) ni Confidentiality. Hakikisha zile taarifa nyeti zipo mikononi mwa watu walioidhinishwa (Authorized users) na si...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Naona jamaa leo wapo serious ngoma imebuma hakuna namna tena kwa wale watumia gb wahatsupp wote chali.
8 Reactions
59 Replies
4K Views
Kampuni ya kusambaza mtandao ya Starlink ya Elon Musk imepewa kibali cha kutoa huduma nchini Zambia. Kwa sasa wazambia wataanza kupata internet ya kasi zaidi kutoka Starlink. Kumbuka Starlink...
16 Reactions
84 Replies
7K Views
Back
Top Bottom