Nahitaji msaada wa kiteknolojia kwa wataalam wa Programming

PaulMbuzimbili

New Member
Aug 4, 2021
1
0
Nilinunua mini fuel pump kutoka china kwa malengo ya kuanzisha kituo kidogo cha uuzaji wa mafuta huku vijijini ninapofanyia kazi.

Nimekumbana na tatizo la kwamba hii mashine ilitengenezwa kwa ajili ya kuuza mafuta kwa bei ya china tu, kwa maana ya kwamba katika issue ya kuset bei ya mafuta (price per unit) maximum price yake ni 999.999 per liter, ambapo bei ya mafuta huku ni sh. 3400 kwa lita moja, ambapo hii mashine haiwezi kuiandika hiyo bei kutokana na setup zake, hivyo nahitaji kama kuna mtu anautaalam wa kuifanyia reprogramming ili iweze kuandika hiyo bei, naomba anisaidie kwa hilo.

Namba yangu ni 0755634416
 

Attachments

  • 20240113_185543.jpg
    20240113_185543.jpg
    2.9 MB · Views: 3
  • 20240113_185557.jpg
    20240113_185557.jpg
    1.7 MB · Views: 3
  • 20240113_185610.jpg
    20240113_185610.jpg
    3.3 MB · Views: 2
  • 20240113_185619.jpg
    20240113_185619.jpg
    1.9 MB · Views: 2
  • 20240114_074407.jpg
    20240114_074407.jpg
    1.9 MB · Views: 3
Au kwanini msihesabu per litres, halafu unaweka kibao cha bei, kwa hiyo mteja anakuwa anajua lita ni shilingi ngapi!
 
Wasiliana na manufacturer hivi sio vifaa standard sio rahisi kwa mtu mwingine kubadili, mbaya zaidi utakuta kichina ndani.
 
Weka make na model tukusaidie kuwasiliana na walioiunda mashine. Kama kuna email au website yao kwenye mashine itakuwa vizuri pia.
 
Back
Top Bottom