Advantages:
you can carry a mobile phone with you so you don't miss important calls
if you are lost, you can call for directions.
if you are in an accident, you can call the police or ambulance...
Wakuu naombeni msaada computer yangu imezingua yaan nikeiwasha feni zake zinazunguka kwa Kasi sana but kwenye kioo hai display chochote yaan hata taa zake hazioneshi kama computer imewaka sijajuwa...
WHATSAPP BOT
Ulimwengu wa Sasa matumizi makubwa ni ya artificial intelligence (robot) now Whatsapp Kuna robot maarufu kama Whatsapp bot.
BOT FEATURES
🤖 Auto View Status
👉Hii utaview status ata...
Heshima kwenu wadau.
Naomba kuuliza kuhusu Poweramp Player kama kuna mtu ambaye amewahi kulipia hii Player anipe maelekezo kidogo. Naweza kulipia kutokea kwenye account yangu ya benki Moja kwa...
COMPUTER LITERACY
UTANGULIZI KUHUSIANA NA COMPUTER
Nini maana ya computer
Kompyuta ni kifaa cha kielektroniki ambacho huchukua taarifa/maagizo kutoka kwa mtumiaji na kuchakata taarifa / maagizo...
Mada
Software Development
Mwelekeo wa tasnia ya kutumia kutekeleza program yako
1. Ama. Web development
2. Mobile App development
3. Ama Desktop App development
4. Ama Analytics Systems
N.k
-...
Hawa jamaa walikuwa hawako hewani siku nyingi. Wakarejea na kutuma meseji Kwa tuliokuwa wateja wao. Cha ajabu ukiwapigia hawapokei simu, na ikitokea bahati mbaya wakapokea wanajibu utumbo na...
Kama wewe ni mfuatiliaji wa Tech basi hili neno umeshakutana nalo mara nyingi sana "iSheep"
Huwa sipendi kulitumia kwa sababu naona kama ni offensive word ila kwa teknolojia ilipofikisha wateja...
Habari naomba kuuliza nina decorder ya Azam tv resolution inayosoma kwenye hdmi niliyonunua dukani ni 1080i na quality ya picha sio nzuri ,,
Je, wanaotumia Azam tv wakiwasha kisimbuzi chao...
Kwema wazee?
Nataka nifanye connection ya cpe kwa umbali wa km 1.
Baada ya kufanya research nimeona kuna hivi vifaa wanaita cpe mfano tp-link cpe610 ambazo kuna hizi kampuni za kutoa huduma ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.