Kawahida❌Ngoja nimuulize mwanangu mmoja yaani yeye WA ya kawahida hatumii
Thanks. Ngoja ni edit.Kawahida❌
Kawaida✅
The same to me, mm nawaonaga kama ni watoto hiviii na ujue kudate na kitoto unajua changamoto zakeSijawahi kumuelewa mtu anaetumia GB WhatsApp.
NA KAMA NI DEMU NIKIGUNDUA ANATUMIA GB NAMPIGA CHINI HARAKA SANA!.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Huu ni ukatili🤣Kawahida❌
Kawaida✅
Mimi sio mtumiaji wa Whatsapp tofauti na official,Sijawahi kumuelewa mtu anaetumia GB WhatsApp.
NA KAMA NI DEMU NIKIGUNDUA ANATUMIA GB NAMPIGA CHINI HARAKA SANA!.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Matumizi mabaya ya uhuru..Mimi nikipenda Coca-Cola na wewe ukapenda pepsi tatizo nini?
Wote tunakunywa soda tu. Uhuru please
Hapo ukimuuliza, mtu mwngn akitumia unofficial wasap huku yeye akitumia official anapata shida gn.? hawezi kukujibu, hawa wanaoponda unofficial wasap huwa hawajitambuiMimi sio mtumiaji wa Whatsapp tofauti na official,
Ila binafsi huwa namuona mtu anayeponda mtu ambae anatumia whatsapp tofauti na official ni kama hajielewi.
Watu wana machaguo ya huduma wanazozipenda, Kwanini uwe na mentality mbovu kuhusu machaguzi yao ?
Mkuu hivi ushaona mtu wa GB,YO na FM wanavyojikuta na hizo un-official zao issues sio machaguo issue ipo kichwani.Mimi sio mtumiaji wa Whatsapp tofauti na official,
Ila binafsi huwa namuona mtu anayeponda mtu ambae anatumia whatsapp tofauti na official ni kama hajielewi.
Watu wana machaguo ya huduma wanazozipenda, Kwanini uwe na mentality mbovu kuhusu machaguzi yao ?
Mkuu hivi ushaona mtu wa GB,YO na FM wanavyojikuta na hizo un-official zao issues sio machaguo issue ipo kichwani.
Kama ni issue ya privacy pia hizo (legal setting) zipo
Sio hizo za michongo na kuhuni huni.
Mm sifagilii hizo Apps kabisa yani utoto,ushamba wa kijinga tu (hapa mtanisamehe).
Nawasilisha.
Mfano mm natumia GB wasap, nyie ambao mnakuwa mnatumia wasap ya kawaida huwa mnapata changamoto gn.?Ukiona Mtu anatumia Gb ujue bado anaka utoto flan hv
Yani ni umbe umbea tuu wanaoSijawahi kumuelewa mtu anaetumia GB WhatsApp.
NA KAMA NI DEMU NIKIGUNDUA ANATUMIA GB NAMPIGA CHINI HARAKA SANA!.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue