Chief Kuna uwezekano wa intenet kupitia kingamuzi yaan kama una azami unatumia WI Fi NetworkThe way torrent inavyofanya kazi huwezi ifungia. Zote Kat na tpb bado zipo, ni kwamba tu jina halipo ila tracker zipo.
Hio inafanya kazi hakikisha tu una adblocker nzuri
😂😂😁...Wazee wa kupenda vitonga!Chief Kuna uwezekano wa intenet kupitia kingamuzi yaan kama una azami unatumia WI Fi Network
Nimeasikia za chini internet za dstv na Azam Zina kazi ila unatakiwa uwe na vifaa Fulani fulani
Wewe unatumia WI Fi ya msikiti Huwa unasaidiaga kulipia...Wazee wa kupenda vitonga!
Ipo satelite internet, hata hii unayosikia inatrend sasa starlink ni satelite internet, sema inategemea sasa hio satelite husika inakubali kutoa internet?Chief Kuna uwezekano wa intenet kupitia kingamuzi yaan kama una azami unatumia WI Fi Network
Nimeasikia za chini internet za dstv na Azam Zina kazi ila unatakiwa uwe na vifaa Fulani fulani
Nafikiri inatumika kwa ajili ya OTA updates/upgrades kwa ajili ya softwares za ving'amuzi vyao tu, sidhani kama inafaa kwa matumizi ya kawaida.. mtandao ukiwa unakubali downlink pekee afu uplink haifunction hapo hamna kazi..Chief Kuna uwezekano wa intenet kupitia kingamuzi yaan kama una azami unatumia WI Fi Network
Nimeasikia za chini internet za dstv na Azam Zina kazi ila unatakiwa uwe na vifaa Fulani fulani