Mkojo, Damu na Gravitational Force

Field Marshal

JF-Expert Member
Apr 5, 2014
414
280
Hivi kwanini Kama mtu akiwa amebanwa na mkojo alafu akawa amekaa kitako Hua mkojo hautaki kutoka ila akisimama mkojo Hua unakua na nguvu na unataka kutoka tofauti na akiwa amekaaa.
Swali:Je Kuna namna yoyote gravitational force inahusika?
Kama jibu ni ndio vipi kuhusu damu inamaana mtu akisimama kiasi kikubwa cha damu kinaenda miguuni?
Msaada kwa wajuzi tafadhari.
 
Hivi kwanini Kama mtu akiwa amebanwa na mkojo alafu akawa amekaa kitako Hua mkojo hautaki kutoka ila akisimama mkojo Hua unakua na nguvu na unataka kutoka tofauti na akiwa amekaaa.
Swali:Je Kuna namna yoyote gravitational force inahusika?
Kama jibu ni ndio vipi kuhusu damu inamaana mtu akisimama kiasi kikubwa cha damu kinaenda miguuni?
Msaada kwa wajuzi tafadhari.
Mkuu mkojo ukiwa ndani ya kibofu hauna uhusiano wowote na gravitational force, kinachofanya mkojo utoke au usitoke ni ile kitu inayoitwa sphincter ( kama misuli) inayopatikana kwenye kiungo cha mrija unaotoa mkojo ( urethra) na kibofu chenyewe,

Hii misuli ndio inatumika kama mlango wa kutolea mkojo au LA. Mkojo pia ukifika kwenye mrija wa kutolea ( urethra) pia gravitational haihusiki, kinachofanyika pale ni capillarity ( kama umesoma physics unaweza ukarejea), gravitational force itaanza ku-apply mkojo ukishatoka tayari kwenye mrija kudondoka chini.
 
Hivi kwanini Kama mtu akiwa amebanwa na mkojo alafu akawa amekaa kitako Hua mkojo hautaki kutoka ila akisimama mkojo Hua unakua na nguvu na unataka kutoka tofauti na akiwa amekaaa.
Swali:Je Kuna namna yoyote gravitational force inahusika?
Kama jibu ni ndio vipi kuhusu damu inamaana mtu akisimama kiasi kikubwa cha damu kinaenda miguuni?
Msaada kwa wajuzi tafadhari.
KWA hiyo wanawake wanapokojoa kwenye choo ya kukaa huwa mkojo hautoki? au ulikuwa humaanishi mkojo ila ni kojo? au wewe ukikunya kwa choo ya kukaa huwa mkojo hautoki kabla ya mhhhh, ok umenielewa nadhani!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom