Naweza kupata channel za FTA kwenye decoder ya AZAM?

Naweza kupata channel za FTA kwenye decoder ya AZAM?

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,646
Reaction score
9,622
Wakuu,

Naomba msaada, jinsi gani naweza kupata channel za FTA kwenye decoder ya Azam? Kama haiwezekani nifanye je ili kupata hizo channel?
 
nyie jamaa nunueni decoda tofauti na azam mpate chanel bora ,
 
Back
Top Bottom