Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Baada ya kulimwa ban ya siku kadhaae, leo kwa nguvu na afya tele tuangalie sehemu ya tano ya maujanja, make life ease in that way If you have any comment, write down straight ahead nitazijibu...
10 Reactions
23 Replies
7K Views
Natanguliza shukrani natumia Android Os
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Nijuzeni.. Ipi nzuriii.. OS. NI Android wakuu
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Habari wana jf, naomba msaada wa application inayotafsiri lugha yani kiswa to english yani naandika sentesi ya kiswahili inatafsiri sentesi nzima ama kingleza inatafsiri kiswa hili . mfano a...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta mtu wa kuntengenezea apps angu and ina cost how much kuregister apps Brela.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuiona cheki hapo social network udom. Hongera sana UDOM. Mungu ibariki UDOM, Mungu ibariki Tanzania. Salamu wana Jamvi! Jana katika tupiatupia macho kurasa za magazeti nikajikuta katika kurasa...
12 Reactions
223 Replies
39K Views
Droni, au ndege ndogo zisizokuwa na rubani zimekuwapo kwa muda mrefu sasa na pengine wengi wameziona zikifanya kazi hasa katika masuala ya vita – kwa mfano vita dhidi ya majangili hapa Tanzania...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni kama ndoto ya mchana tena ya kijinga lakini ni ndoto ya mtu wa kweli aliyoishi nayo tangu alipozaliwa mpaka sasa ana umri wa miaka 35. Wakati binadamu wengine wakifikiri juu ya kubadili aina ya...
1 Reactions
83 Replies
8K Views
Hatimaye Microsoft wameachia Upgrade rasmi ya Windows 10. Cha kufanya download app moja inaitwa Upgrade Advisor, install then fata maelekezo. Am enjoying each glance at my windows phone...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
msaada fundi wa simu mwenye uwezo wa ku fix tatizo la multtouch kwenye lg g2 , ukiggusa uku ina respond kule, popote alipo naweza mtafuta.
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Kwa wenye ujuzi wa Python programming, nahitaji kufahamu web framework ambazo ni lightweight.
0 Reactions
1 Replies
898 Views
Humanlike robots may seem creepy, but some roboticists are betting they are the key to unlocking a future in which humans and superintelligent computers coexist, work alongside each other and even...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
LTE carrier support NETWORK 2G bands GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 - A1662, A1723 CDMA 800 / 1900 - A1662, A1723 3G bands HSDPA 800 / 850 / 900 / 1700(AWS) / 1900 / 2100 - A1662, A1723 CDMA2000...
4 Reactions
112 Replies
16K Views
Habarini.... Wana jf Kuna uwezekanao wa kuinstail keyboard yenye similar characteristics kama ya sumsang.. Ukiwa na tecno c5 Naomba kuwasilisha.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Sabakheri Wanasayans; Ningependa Kufahamisha Ule Uchunguz Walioufanya Kwa Kuutoa Ubongo Wa Albert Einstein!! Ulikuwa Na Faida Au Ulileta Maendeleo Gan Katika Sayansi Na Teknolojia!??
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Siku hizi wizi wa vifaa vya kuhifadhia kumbumbu muhimu huwa vinaibiwa sana haswa komputa , komputa nyingi tumeshuhudiwa zikiibiwa na wengine wakitangaza katika mtandao kuhusu hizo computer zao au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Is your computer one of those computers that boots forever???!!like,you can even make a sandwich and still that welcome sign yet to come or still non responsive??anyways..,if your boot up takes...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kujulishwa settings za internet za Halotel. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
11 Replies
34K Views
HABARI JF. NAOMBENI MNIELEKEZE JINSI YA KUTUMA DOCUMENTS/TAARIFA KWA NJIA YA E-MAIL WANAFANYAJE? NAWASILISHA
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nahitaji kudownload adobe cs5,adobe photoshop cs5, ila sijui link itakayonipeleka moja kwa moja,pia ambayo ni free kama kuna mtu anafahamu undani wa hili au website ya kudownload software free ila...
0 Reactions
2 Replies
998 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…