Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nahitaji Speaker na Mic mbili zile zinazotumika sana kuhubiria Injili barabarani(mitaani). Naomba mnishauri ni aina(brand) ipi ina ubora wa sauti, portable na sifa nyingine muhimu za ziada...
4 Reactions
10 Replies
182 Views
Habari wadau wa audio. Natafuta Subwoofer ya inchi 10 (Used/Mitumba) kwa ajili ya DIY project yangu ya chumbani. Target yangu ni kupata Quality Bass kwa ajili ya RnB na Trap (Tight bass, siyo...
3 Reactions
6 Replies
186 Views
Kwa kipindi sasa nimekuwa nafuatilia computer nzuri kwa upande wa programming na video editing. Sio mtaalamu wa video editing ila napenda kufanya tu for fun. Kwa kuwa nimebobea kidogo kwenye...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wakuu? Nahitaji smartphone nzuri affordable isiyozidi laki Tano inayoweza kutunza charge angalau kwa saa 30 au zaidi Nimeambiwa simu zenue betri ya 7000mHA zinakaa na charge ikiwepo...
3 Reactions
7 Replies
311 Views
ClimCam is an Earth observation tool developed through the UN Office for Outer Space Affairs and Airbus program, set for deployment on the ISS to monitor East Africa multiple times daily for early...
0 Reactions
3 Replies
202 Views
GoPro Hero ni jina maarufu sana kwa wapenzi wa camera, especially Action Camera. Tokea Hero 1 mwaka 2009 hadi Hero 13 Black mwaka 2025 mengi sana yametokea kuboresha tasnia ya Action Camera...
0 Reactions
0 Replies
109 Views
Hii December nimepigwa ban mara sita Nimetumia number mpya hiyo hiyo ikapigwa ban Nimeadd member kwenye group nikapigwa ban Nimetuma text kwa chatgpt nikapigwa ban Kurud hiv vitu vikawa...
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Wataalamu ebu nishaurini. Nina iphone 12 pro max nataka kununua iphone 14 pro max au samsung s22 ultra. Which way should I go!
6 Reactions
64 Replies
7K Views
Habari wana-tech, Leo nataka kuwashirikisha mradi wangu mmoja wa open-source unaitwa OllaBridge. Huu mchongo utawasaidia sana ma-developer wenzangu wanaotumia shared hosting (kama Hostinger...
3 Reactions
0 Replies
140 Views
Wakuu hivi huwa mnachajiwa Tshs kwa huduma za kuscaniwa magari. Kuanzia code za kawaida za injili hadi mfumo mzima wa gari
1 Reactions
4 Replies
187 Views
Christina Koch akipiga selfie na Dunia kutoka space. Nasa wameconfirm iPhone 17 Pro Max imehusika.
9 Reactions
17 Replies
497 Views
Kwanini matumiz ya vifaa vya mawasiliano vilivyoungwa au kutumia satelaiti ni haramu kwa matumizi ya kijamii na ata ukitaka kutumia kihalali basi utakutana na vikwazo vingi sana tena nimegundua...
1 Reactions
5 Replies
127 Views
Kwanza kwa niaba ya Familia nzima ya HONOR Tanzania (inatamkwa HONA) tunashukuru Timu ya 'Jamii Forums' kuturuhusu kuja huku kwaajili ya kuendeleza elimu na ubadilishanaji wa ujuzi na kuchangia...
5 Reactions
10 Replies
299 Views
Nataka nianze work from home. Sasa naulizia hizi PC naziona online bei Tsh 550-750k All in One, majina makubwa kama Dell, HP, Lenovo. Sasa niko hapa najiuliza, zina faa au danganya toto? Kama...
6 Reactions
12 Replies
935 Views
The browser is the "engine," but the proxy is the "fuel." Even a Ferrari (MoreLogin) won't move if you put water in the tank (Free Proxy/VPN). -- Kwa sasa natumia Browser hizi: Incogniton...
0 Reactions
2 Replies
109 Views
ChatGPT ni artificial intelligence iliotengenezwa na openAI, unaweza iuliza ikuandikie barua, report, inaweza kutengeneza website na mengine mengi, yajayo ni hatari sana Hii kitu nimekuwa...
13 Reactions
850 Replies
70K Views
This ebook introduces the world of Data Science in a simple and practical way. It covers key concepts such as data collection, cleaning, analysis, visualization, and machine learning. You will...
1 Reactions
0 Replies
119 Views
Habari wadau wa Technologia natumai mko poa Msaada wi-fi na hotspot hazifanyi kazi kwenye simu yangu nahii imetokea baada ya AC kuzingua sasa nimejaribu kureset mobile network lakini bado...
3 Reactions
19 Replies
437 Views
Simu in Samsung A12 Nili nunua unboxed haijawahi sumbua kabisa ,ila hili tatizo lime anza baada ya kubadii kioo Nili peleka kwa fundi aka badili waya wa mtandao lakini tatizo Bado lipo aka...
3 Reactions
7 Replies
199 Views
Natafuta fundi projecter nina projecter inasumbua lenzi
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom