Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

I’ve been browsing the Tech, Gadgets & Science section and it’s interesting how active online tech communities have become. People discuss everything from smartphones, AI tools, networking...
0 Reactions
0 Replies
109 Views
Kama unafikiria Google tunaweza kutumia mfumo wa Liquid Glass kuendana na iPhone kwenye vifaa vyetu sahau kabisa 👋. Hii ndo kauli mpya ya ametoa Bwana Sameer Samat Rais wa Google kwenye masuala...
2 Reactions
0 Replies
184 Views
siongei sana, wacha tunyoke moja kwa moja kwenye hizi points zaidi ya 20 Bei ya iphone ipo juu kwasababu haitaki ushindani Iphone ni kama unaposafiri safari ndefu kwa basi, huwa kuna ile...
106 Reactions
373 Replies
45K Views
Wadau. Hapa kuna router kibao zimenizunguka Ila wadau hawataki kushare password za Wi-fi zao na hawataki kuuza. Ni app (s)gani nzuri ya kuiba (hack) device zao niweze kuenjoy Wi-fi? Asante.
11 Reactions
45 Replies
1K Views
kampuni ya Meta inakaribiwa na mashtaka juu ya kutengeneza Miwani yenye kuondoa nguo zako zote na kubaki mtupu. Miwani ya Meta Ray ban glasses 🕶️ ambayo Ina Teknolojia ya Ai imekumbwa na kashfa...
4 Reactions
13 Replies
405 Views
Wakuu nilikuja humu kuomba ushauri kuhusu box gani nzuri ya kununua sikupata majibu katika kuulizia kwa mafundi wenzangu wakanishauri UFI box itnaweza nifaa kwa bajeti yangu na nikiangalia youtube...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wadau wa JamiiForums, Leo nimekuja na kichwa moto kuhusu hili swala la VPN ambalo limekuwa likiwaka kama moto wa gari la maji mitandaoni! Tangu 2023, serikali kupitia TCRA ikawavunja moyo...
5 Reactions
67 Replies
4K Views
Wadau salam. Nahitaji kununua line ya kuuzia bando (HALOTEL) Nauliza je process zipi nifuate ili nikibadli umiliki (NIDA) line usipoteze sifa ya kuuza bando?
1 Reactions
1 Replies
111 Views
Habari Developers, Kama una software/app/project na unahitaji watu wa ku-test na kukupa feedback, iweke hapa 👇 Include: Jina la app/project Link ya ku-download au ku-access Platform (Web...
3 Reactions
15 Replies
268 Views
Watu wengi wanapenda simu za kisasa zenye uwezo mkubwa kwa bei ya kawaida. Hali hii inapelekea wengi wao kuamua kununua simu zilizotumika (used) kutoka nje ya nchi, katika masoko maarufu kama...
5 Reactions
10 Replies
4K Views
Kuna Game la Drafti linaitwa Backrow Rush ni zuri sana. Linapatikana Play store kwa jina Backrow Rush Naomba msaada wa kulijaribu na mnipatie maoni yenu kipi cha kuboresha na kuongeza. Kwa sasa...
10 Reactions
30 Replies
621 Views
Mwenye kujua Kipi na kipi ni muhimu na kazi yake tafadhali.. Nimeona nachezea fursa, nimetengenzeza simu 4 locally ambazo zote nilishaambiwa nibadili vioo nyingne imekufa body. Leo nimefungua...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Nina shida kubwa sana na mtandao wa Telegram Ila nashindwa kujiunga naambiwa Hadi nilipie je kuna ujuzi WA kujiunga bila kulipia?
6 Reactions
20 Replies
846 Views
Teknolojia inakwenda Kasi sana Sasa Ukiwa na TECNO Camon 50 unaweza share files mbalimbali na iphone kwa kugusanisha Tu simu. Zamani ilikua ni mchakato mrefu kuweza kushare files Toka simu za...
2 Reactions
2 Replies
159 Views
Kadri mabadiliko ya teknolojia yanavyozidi kushika kasi, ndivyo yanavyozidi kuleta athari chanya au hasi katika nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu. Katika uwanja wa software development...
1 Reactions
20 Replies
365 Views
Wakuu wataalamu wa python na selenium, na JS playwright Tukutane hapa. Tupeane uzoefu na utaalamu.
3 Reactions
36 Replies
423 Views
Aisee zimefika nyumbani kwangu, ila Kabla sijalipia nataka kupata kwanza feedback kutoka kwenu wadau, ziko vizur hizi router za TTCL??
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Kama kichwa cha uzi hapo juu kinavyoelezea, tuchukulie mfano simu ya Samsung Galaxy S22 ultra ambayo mara ya mwisho imepokea system update mwaka jana huku ikitarajiwa kutokupokea tena security...
2 Reactions
18 Replies
343 Views
Bei ziko sawa na zote ni smart
1 Reactions
37 Replies
1K Views
Mimi ni software enginerr mkongwe, mwenye uzoefu zaidi ya miaka kumi, na nilikua sijaanza kuchangamkia coding via AI, nilikua napiga codes zangu mwenyewe nikitarajia siku nitapata fursa...
8 Reactions
33 Replies
796 Views
Back
Top Bottom