I’ve been browsing the Tech, Gadgets & Science section and it’s interesting how active online tech communities have become. People discuss everything from smartphones, AI tools, networking...
Kama unafikiria Google tunaweza kutumia mfumo wa Liquid Glass kuendana na iPhone kwenye vifaa vyetu sahau kabisa 👋.
Hii ndo kauli mpya ya ametoa Bwana Sameer Samat Rais wa Google kwenye masuala...
siongei sana, wacha tunyoke moja kwa moja kwenye hizi points zaidi ya 20
Bei ya iphone ipo juu kwasababu haitaki ushindani
Iphone ni kama unaposafiri safari ndefu kwa basi, huwa kuna ile...
Wadau.
Hapa kuna router kibao zimenizunguka Ila wadau hawataki kushare password za Wi-fi zao na hawataki kuuza.
Ni app (s)gani nzuri ya kuiba (hack) device zao niweze kuenjoy Wi-fi?
Asante.
kampuni ya Meta inakaribiwa na mashtaka juu ya kutengeneza Miwani yenye kuondoa nguo zako zote na kubaki mtupu.
Miwani ya Meta Ray ban glasses 🕶️ ambayo Ina Teknolojia ya Ai imekumbwa na kashfa...
Wakuu nilikuja humu kuomba ushauri kuhusu box gani nzuri ya kununua sikupata majibu katika kuulizia kwa mafundi wenzangu wakanishauri UFI box itnaweza nifaa kwa bajeti yangu na nikiangalia youtube...
Habari wadau wa JamiiForums,
Leo nimekuja na kichwa moto kuhusu hili swala la VPN ambalo limekuwa likiwaka kama moto wa gari la maji mitandaoni! Tangu 2023, serikali kupitia TCRA ikawavunja moyo...
Wadau salam.
Nahitaji kununua line ya kuuzia bando (HALOTEL)
Nauliza je process zipi nifuate ili nikibadli umiliki (NIDA) line usipoteze sifa ya kuuza bando?
Habari Developers,
Kama una software/app/project na unahitaji watu wa ku-test na kukupa feedback, iweke hapa 👇
Include:
Jina la app/project
Link ya ku-download au ku-access
Platform (Web...
Watu wengi wanapenda simu za kisasa zenye uwezo mkubwa kwa bei ya kawaida. Hali hii inapelekea wengi wao kuamua kununua simu zilizotumika (used) kutoka nje ya nchi, katika masoko maarufu kama...
Kuna Game la Drafti linaitwa Backrow Rush ni zuri sana.
Linapatikana Play store kwa jina Backrow Rush
Naomba msaada wa kulijaribu na mnipatie maoni yenu kipi cha kuboresha na kuongeza. Kwa sasa...
Mwenye kujua
Kipi na kipi ni muhimu na kazi yake tafadhali..
Nimeona nachezea fursa, nimetengenzeza simu 4 locally ambazo zote nilishaambiwa nibadili vioo nyingne imekufa body.
Leo nimefungua...
Teknolojia inakwenda Kasi sana Sasa Ukiwa na TECNO Camon 50 unaweza share files mbalimbali na iphone kwa kugusanisha Tu simu.
Zamani ilikua ni mchakato mrefu kuweza kushare files Toka simu za...
Kadri mabadiliko ya teknolojia yanavyozidi kushika kasi, ndivyo yanavyozidi kuleta athari chanya au hasi katika nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu.
Katika uwanja wa software development...
Kama kichwa cha uzi hapo juu kinavyoelezea, tuchukulie mfano simu ya Samsung Galaxy S22 ultra ambayo mara ya mwisho imepokea system update mwaka jana huku ikitarajiwa kutokupokea tena security...
Mimi ni software enginerr mkongwe, mwenye uzoefu zaidi ya miaka kumi, na nilikua sijaanza kuchangamkia coding via AI, nilikua napiga codes zangu mwenyewe nikitarajia siku nitapata fursa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.