NATAFUTA TEAM (PART-TIME) – YOUTUBE CHANNEL
Natafuta vijana wenye ujuzi wa:
🎨 Graphic Design
🎞️ Video Editing
✍️ Script Writing
🎙️ Narration
Kwa ajili ya YouTube Channel
Interested?
Tuma:
Jina...
Wakuu, natumaini hamjambo.
Kama kichwa cha habari kinavyoonekana, nina hiyo router ya CPE 5s; ila tatizo inatumia tu laini moja.
Je, kuna mtu anaweza unlock ili iweze kusoma laini tofauti?
Mambo mengi yanafanyika kwa haraka kuliko zamani. Watu wanajifunza, wanafanya biashara mtandaoni, wanatafuta kazi mtandaoni na kuwasiliana kupitia mtandao kila siku. Moja ya uvumbuzi mkubwa...
Ni hivi wakuu ninataka kununua kakifaa fulani kakuscania magari. Japo hakasomi kwenye gari za Asia chini ya mwaka 2008. Hivyo ninahitaji kujua gari nyingi hapa Bongo ni za miaka gani.
Wadau Halotel wali lunch 5G katika mikoa yote 26 lakini imejaribu ku swich on Line yao tuu siipati hiyo 5G kama walivyotangaza. Nakusudia kuwaburuza Mahakamani. Tigo Vodacom ndo naona zinapandisha...
Nimekuwa nikikutana na changamoto ya kupata internet. Account iko paid, connection zote zipo sawa.
Nikipiga simu naambiwa ni tatizo la kiufundi.
Naomba kujua kama na nyie mnakutana na...
Habari wakuu
Kiukweli nahitaji kuongeza uelewa kuhusu mambo mifumo ya sim na mambo ya computer like androids, OS, Linux, bypassing and other like that.
Hivo nilipendelea sasa kisaidiwa kupata...
Mwaka 2025, Android ilisafirisha simu 1,000,000,000 huku iPhone ikisafirisha 240,000,000, hivyo kwa idadi ya vifaa Android iko ligi tofauti kabisa. Hata hivyo, bei ya wastani ya iPhone ni dola...
Mara baada ya Mwananchi kupitia JamiiForums.com kulalamikia huduma ya Kazi za N-CARD katika kuweka fedha, inayowalazimu kupanga foleni wakati wa kuitumia katika Kivuko Kigamboni, ufaafanuzi...
Wapendwa habari za wakati huu,
Samahani naomba kujua Kati ya google pixel 6 plain na IPhone 11 Nani mkali zaidi katika camera, betries, storage, quality na mengineyo mengi mengii ya ndani msaada...
Habari wakuu, nauza simu yangu binafsi ikiwa katika hali nzuri kabisa. Sababu ya kuuza ni kupata changamoto ya kifedha inayohitaji utatuzi wa haraka.
Sifa za Simu:
Model: Redmi Note 14 Pro 5G
RAM...
Wakuu kwema. Na imani mnaendelea poaa. Wahenga walisema kama nitakuwa sijakosea "omba nyavu ukavue samaki mwenyewe kuliko kuomba samaki kila siku"
Naomba msaada wenu kwenye hili kwa yule...
Habari. Msaada tafadhali... Ofisini hapa tumejichanga tumenunua Router ya ZTE model K12 unlimited bundle.
Sasa issue inakuja kwenye kuunga kwenye Laptop yangu Dell Latitude 3340. Wenzangu wote...
Wakuu habari za majukumu? Natumai mnaendelea vizuri na majukumu ya maisha ya kila siku. Kutokana na changamoto ya janga la Korona hivyo inatupasa kujikita zaidi katika "digital marketing" and...
Naomba msaada wa kupata software amboyo itaniwezesha ku control user katika matumizi ya mtandao internet ili niweze kutambua mtu mwenye matumizi makubwa niweze kulimit.
Router zenye uwezo mkubwa bei yake ipo juu sana. Sasa nikaanza kufanya research ya kama PC ikiwa na Windows OS ya kawaida kama inaweza kufanya kazi kama Router. Nilihangaika mpaka kuja kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.