Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Router zenye uwezo mkubwa bei yake ipo juu sana. Sasa nikaanza kufanya research ya kama PC ikiwa na Windows OS ya kawaida kama inaweza kufanya kazi kama Router. Nilihangaika mpaka kuja kupata...
7 Reactions
25 Replies
628 Views
Tupeane hiyo Mbinu tafadhali ili nami pia niwe nawachungulia Watu na WhatsApp Status bila ya Wao kujua.
5 Reactions
10 Replies
748 Views
Wakuu habari zenu Mwenye nayo Naomba tusaidiane VPN ya halotel kwa ajili ya free Internet
5 Reactions
27 Replies
578 Views
Habari wakuu? Je naweza kufahamu namba ya simu kwa kutumia hizi namba ? Ahsante
5 Reactions
7 Replies
306 Views
  • Featured
Wakuu, leo September 9 Apple wamezindua simu zao mpya iPhone 17 series pamoja na bidhaa nyingine kama airpods na Apple watch matoleo mapya. Kwa kuanza na iPhone, jumla ya simu nne zimezinduliwa...
20 Reactions
172 Replies
7K Views
Wadau heshima kwenu,mgeni kidogo hapa,msaada tutani nina sj 5 na kwenye kizibo oil inayotakiwa nimeona ni OW 20,na nimekuta kuna kampuni mbili aina ya alphard titanic ila nimeshangazwa sana na...
2 Reactions
6 Replies
311 Views
UNAWEZA nambia Kuna ulazima WA Mimi KUWA na router ILI KUWA na unlimited? Je siwezi KUWA monitored nikiwa na unlimited Kwa card ya simu? Kama router ni Kwa ajili ya ofisini na majumbani vipi Kwa...
21 Reactions
87 Replies
4K Views
Habarini wadau. Baada ya kuweka uzi wa maoni yangu juu ya kamera ya simu ya Iphone 13 Pro maarufu kama macho matatu, Wadau wengi ambao hawatumii Iphone wala Samsung waliona kama wametengwa...
8 Reactions
550 Replies
45K Views
Microsoft office, word, excel, n.k - $99.99 kwa mwaka (Tshs 245,000 ) AutoCad - $2,095 kwa mwaka (Tshs 5,140.000 ) Photoshop - $263.88 kwa mwaka (Tshs 645,000 ) Adobe Premiere - $263.88 kwa...
8 Reactions
30 Replies
1K Views
Wakuu. Mimi uwa inachukua miaka miwili au mitatu kubadilisha simu, tukitoa emergency za kupoteza, kuibiwa au kuharibika. Mara zote nanunua used, uwa natafuta flagship ya miaka miwili iliopita...
12 Reactions
67 Replies
1K Views
Samsung baada ya kushika soko kwa muda mrefu wakajisahau na kuona wanaweza kufanya wanachojisikia sokoni , google pixel wakaja wakawapiga bao na sasa vijana wengi hupendelea zaidi kuliko Samsung...
8 Reactions
192 Replies
8K Views
##Extend your laptop battery life 1. Use hibernate mode when the laptop will not be used for an extended period. 2. Calibrate the battery periodically by allowing it to discharge and then fully...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Bila dalili za awali, kampuni ya TCL imetangaza mpango wa kununua kitengo cha burudani za nyumbani cha Sony, kinachojumuisha televisheni na vifaa vya sauti vya nyumbani. Kampuni hizo mbili...
0 Reactions
2 Replies
176 Views
Habari za muda huu wanateknolojia Nikiwa kama mdau wa kusoma vitabu mbalimbali, ni kwa muda sas nimetafuta app inayoweza kuconvert texts to voice note ( hasa kwa pdf books) ili kurahish usomaji...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Mawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano ya Tanzania ni matumain yangu wote mpo salama kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu. Kwa yeyote anayefaham Apps kali ya ku edit picha naomba...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Maoni yenu wakuu. Zote ziwe 512GB. ipi nichukue, ni mtumiaji wa ios na android pia. Nilitaka nibebe zote pamoja, lakin nataka nianze na moja. Kama kuna tofauti na hizo ambazo bora zaidi...
3 Reactions
27 Replies
598 Views
Wadau wa tech hamjawai kuniangusha. Anayejua wireless earphones kwa android zenye mziki mzuri kama za wire. Location: dar Bajet 100k. Brand nzuri. Muundo mzuri. Charge ndefu. Picha ya mfano wa...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Hatimaye ile vita ya utata iliyopo kati ya Android na iphone imefikia tamati baada ya Google kutambulisha mfumo rahisi wa kuweza kurushiana vitu Toka Kwenye android kwenda kwenye iphone. Kupitia...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Google Iko kwenye mpango mzuri wa kuweza kuruhusu watumiaji wa akaunti za Gmail (Google Account) kubadilisha username za email zao Kwa urahisi. Mfumo huo utaanza kufanya kazi kuanzia mwaka 2026...
3 Reactions
4 Replies
300 Views
Back
Top Bottom