Hatari Wana jukwaa
Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwenu.
Ninahitaji kuwa na app ya kukopesha pesa mtandaoni lakini sijui ninaipataje, ninafahamu hum Kuna wataalamu WA Kila kitu...
Unajua app ya message uliyonayo inaweza kufanya jambo zaidi ya unavyofikiria kabisa ? Kuna mambo mengi ya siri unaweza kuyafanya kwenye app yako ya Message ambayo hukutegemea kabisa.
5️⃣ Message...
Watu wengi hawalijui hili!
Utashangaa kadiri unapozidi kufuta vitu kwenye simu yako (Picha/ Video? na ukiamini kuwa umefuta permant kwasababu ulifuta hadi kwenye recycle bin ila simu inapungua...
Laptop Gani Inafaa Kazi Yangu ?
Kwa Nini Swali Hili ni Muhimu?
Kila mnunuzi wa laptop anapofika sokoni au anapotafuta mtandaoni hukutana na swali moja kuu
👉 “Laptop hii itaendesha software zangu...
Teknolojia zina shika kasi sana.Kwenye Iphone 17 nimeona mfumo wa setelite ina maana mbeleni kutaweza kuwafanya watu wapate wanachokitaka sehemu yoyote.
Huku kwetu tumeona hii tabia ya kuzima...
Habari zenu wakuu, ninatafuta professional wireless microphone za shure original kabisa kariakoo sijaona anaeuza wengi wanauza shure za kichina, kuna yeyote anaeziuza hapa tanzania? na kwa...
Time flies.
Tarehe 9 January 2007, Apple walizindua iPhone ya kwanza.
Katika uzinduzi Steve Jobs alisema, “An iPod, a phone, and an internet communicator... These are not three separate devices...
Jinsi ya ku root simu yako ya Android.
Utangulizi:
Simu zetu za Android zimekua sehemu ya Maisha yetu ya kila siku. Tunazitumia katika Mawasiliano, Kuhifadhi kumbukumbu za muhimu, burudani...
Wakuu habari za wakati huu, mwaka mpya unaingia nimrjipanga nianze kufanya issues za Interior Designing mambo ya sketchup so nahitaji pc yenye specs kama hizo hapo chini.
Intel Core i7/i9 or AMD...
Imagine ubora wa Azam Tv lakini wanaangushwa na App yao.
Watu wana studio kali, OB Van kali, Camera za kisasa.
Mnashindwaje kutengeneza App yenu iwe imara muda wote?
Mtu uko mbali na nyumbani...
Spec Ndogo Inayoamua Kama Upgrade Yako Itafanikiwa au Itakwama
Kwa miaka ya karibuni, SSD zimekuwa chaguo la kawaida kwa watumiaji wa laptop na desktop wanaotaka kuongeza kasi ya mifumo yao. Watu...
Kama last year hivi mwanzoni niliingia ulimwengu wa mobile app baada ya kuwa kwenye web kwa kipindi kirefu. Sikuwahi kufanya Vibe coding hapo nyuma(programming kwa kutumia AI) kutokana na hizi...
Ni app gani uliwahi kuwish iundwe hapa Bongo lakini bado haipo au haijafika kiwango cha kimataifa?
Au kuna changamoto gani uliwahi kukutana nayo ukaona kabisa, "Duh, hapa app ingesaidia!"
Huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.