Habari za sasa hizi waJF mimi nakaribia kuhitimu chuo wiki ijayo nimekaa nikaona ni bora nitafute ulaji kidogo. Nimewaza bora nifungue play station mtaani kwetu. Je nitapata wapi hivyo vifaa kwa...
wakuu habari za wakati kwanza nianze kwa kusema natambua uwepo wa google kama helpfull search engine ya vitu pamoja na tutorials video ktk youtube sasa usiniambie niulize au kutazama google, wakuu...
Wadau dish langu limepoteza frequency kabisa kwasababu ya upepo na mvua za jana,yeyote mwenye ujuz huo! Maana mafund wa DSTV cku hiz wanataka sana pesa!
Nina Samsung galaxy s4,gt-i 9500,IPO slow sana kwenye kutumia internet na ninapojaribu kudownload videos au application inashindikana.
natumia mtandao wa air tel naweza kupata msaada was jinsi ya...
msaada wanajamvi smartphone yangu ya samsung nikiwasha inaanza proccess zote za kuwaka ikifika kwenye hatua ambayo screen inaonyesha neno sangsung basi ina baki hivyohivyo aizimi wala kuendelea...
Simu yangu tecno m9 imegoma kuwaka inaishia kwenye logo ya tecno tu imeflashiwa lakini tatizo lipo pale pale, naombeni msaada wa kiufundi ili iweze kutengenezeka.
Msaada wanajamvi smartphone yangu ya samsung nikiwasha inaanza proccess zote za kuwaka ikifika kwenye hatua ambayo screen inaonyesha neno sangsung basi ina baki hivyohivyo haizimi wala kuendelea...
Habarini wana JF?
Ni hv dogo kachezea cm yang ya Huawei ascend na bahati nbaya kaweka pattern ambazo hakumbuki namna ya kuzitoa,wengne wamenishauri nikafrash lakn inakuwa ngumu maana nimeulizia...
Hello JF fans....!
Are you the owner of a smart phone?
Yes Android users.....!
I have great news for you fellows.
If you didn't know am going to tell you and if you knew you'll tell me am on...
Nadili na matatizo ya computer kurudisha data zilizopotea, kushughulikia software nahardware problem nicheck 0768936317 napatikana mwanza bugando B karibuusisite
Sony Telecommunications walipo ruhusu simu zao hasa uzao wa Xperia kusonga mbele kwenye OS ya Adroid hasa kuna baadhi ya OS Version kama Marshmallows ilizingua kwenye kutunza Chaji tofauti na...
Habari wanajamvi,
Ningependa kufahamishwa chuo/kituo kinachotoa huduma za mitihani ya
1. CISCO ( CCNA, CCNP na hata CCIE)
2. Linux (LPI exams)
Haswa sehemu wanaporuhusu kufanya...
Ndugu wana jamvi bila shaka mpo vizuri naomba watumiaji wa cm tanjwa hapo tukutane humu ili tubadilishane uzoefu wa matumizi yake. Kiufupi kwangu nimesha jaribu ku update cm yangu kwenda lollipop...
Jamani computer yangu aina ya HP inanipa pressure sana mwanzo program zilikuwa zinafanya kazi vizuri tu, akaja mtu nikachomeka EXTERNAL nilipoitoa tu program zote zikawa stopped work kila...