Habarini wana JF?
Ni hv dogo kachezea cm yang ya Huawei ascend na bahati nbaya kaweka pattern ambazo hakumbuki namna ya kuzitoa,wengne wamenishauri nikafrash lakn inakuwa ngumu maana nimeulizia wanasema ukifrash kila kit kinafutika hivy inakuwa ngumu maana kuna vitadata vyang vya muhim sitaki vifutike HVO basi Naombeni msaada wenu wa kitaalam kutoa lock ya pattern kweny hii cm bila kufrash.
Asanteni sana.
Ni hv dogo kachezea cm yang ya Huawei ascend na bahati nbaya kaweka pattern ambazo hakumbuki namna ya kuzitoa,wengne wamenishauri nikafrash lakn inakuwa ngumu maana nimeulizia wanasema ukifrash kila kit kinafutika hivy inakuwa ngumu maana kuna vitadata vyang vya muhim sitaki vifutike HVO basi Naombeni msaada wenu wa kitaalam kutoa lock ya pattern kweny hii cm bila kufrash.
Asanteni sana.