Habari wana jamii forum naomba kuuliza hivi mimi natumia simu tecno j8 lkn nikitumia kwa muda mrefu labda kwa siku hata masaa matatu kichwa kinauma sana na macho yana vuta sana kuna wakati nasikia hadi kichefuchefu. Sasa najiuliza ni simu lbda au ni nn au ni kioo cha simu sijui naomba mnisaidie serious nahitaji saada kama ni simu nibadilishe haraka.