Gharama za kutengeneza na kumiliki website

Gharama za kutengeneza na kumiliki website

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
21,011
wakuu naomba mnijuze gharama za kutengeneza na kumiliki website?

ni hatua gani za kufuata? kuna usajili unahitajika?

ni website ambayo itakuwa na taarifa ya vitu kama 2,000 na watu watakuwa wakisearch kupata taarifa. cc Chief-Mkwawa
 
wakuu naomba mnijuze gharama za kutengeneza na kumiliki website?

ni hatua gani za kufuata? kuna usajili unahitajika?

ni website ambayo itakuwa na taarifa ya vitu kama 2,000 na watu watakuwa wakisearch kupata taarifa. cc Chief-Mkwawa
mkuu gharama za kutengeneza website ni tsh laki mbili na nusu tu. na ndio kuna usajili unatakiwa. usajili wa domain name na hosting account itakapowekwa hiyo website. hiyo gharama ya tsh laki mbili na nusu itajumuisha development na design ya website + kusajili hiyo domain na kulipia hosting account itakapokaa website ambayo itakua na unlimited webspace ambayo itakuwezesha kuweka hizo taarifa zako kadri uwezavyo na pia itakua na unlimited email account.

angalia baadhi ya kazi nilizofanya:-
www.patmogsl.co.tz angalia hii ina information nyingi sana za device mbalimbali
www.cableoutreach.org hii pia kuna information nyingi sana ndani yake na course mbali mbali za kujifunza english language
www.hypnosisltd.com
www.fikisha.co.tz
www.hebronstudios.com

mkuu hizo ni baadhi ya kazi nilizofanya kama upo interest tuwasiliane kwa:-
call/ WhatsApp: +255654380695
email: matthewkapela@gmail.com
karibu mkuu tufanye kazi
 
mkuu gharama za kutengeneza website ni tsh laki mbili na nusu tu. na ndio kuna usajili unatakiwa. usajili wa domain name na hosting account itakapowekwa hiyo website. hiyo gharama ya tsh laki mbili na nusu itajumuisha development na design ya website + kusajili hiyo domain na kulipia hosting account itakapokaa website ambayo itakua na unlimited webspace ambayo itakuwezesha kuweka hizo taarifa zako kadri uwezavyo na pia itakua na unlimited email account.

angalia baadhi ya kazi nilizofanya:-
www.patmogsl.co.tz angalia hii ina information nyingi sana za device mbalimbali
www.cableoutreach.org hii pia kuna information nyingi sana ndani yake na course mbali mbali za kujifunza english language
www.hypnosisltd.com
www.fikisha.co.tz
www.hebronstudios.com

mkuu hizo ni baadhi ya kazi nilizofanya kama upo interest tuwasiliane kwa:-
call/ WhatsApp: +255654380695
email: matthewkapela@gmail.com
karibu mkuu tufanye kazi
nashukuru sana mkuu. mwisho wa mwezi ntakutafuta tufanye kazi. nimeona hizo kazi, ni nzuri sana.
 
Back
Top Bottom