inamaana ukianza na +255 haifanyi sio?hapana.
nikianza na sifuri.
hilo ni tatizo la settings kwenye simu yako km ingekuwa invalid sim tungesema kuna tatizo la imei ama network locks (hiyo haijazimwa na TCRA)habari zenu wadau.
nahitaji msaada.
hivi simu ina maana gani pale nikipiga na yenyewe kuniandikia INVALID NUMBER ?
Nitashukuru sana.