Hilo ni angalizo tu, kama hujaelewa mtu anapo miliki simu anauwezo wa kuifanya chochote ikiwemo ku ROOT Sasa zipo update nyingine hazikubali kwenye simu zilizo fanyiwa ROOT.Mkuu hauna uhakika na process yako....au ww fundi simu?
Hilo ni angalizo tu, kama hujaelewa mtu anapo miliki simu anauwezo wa kuifanya chochote ikiwemo ku ROOT Sasa zipo update nyingine hazikubali kwenye simu zilizo fanyiwa ROOT.
Zaidi hapo utaishia kuiharibu.