Ameiba simu ya rafiki yangu jana,kosa alilolifanya, aliingiza line yake akachange WASAP number.Sasa ukiwa kwenye wasap group ukabadili number,wasap wanatuma notifocation kwenye group.Alipigiwa simu akawa anababaika,leo siku nzima amezima simu.Wana JF Tunamsaidiaje uyu rafiki