Chemtrail
JF-Expert Member
- Aug 15, 2016
- 827
- 442
Habari zenu wataalam.Simu yangu imeanza ku-misbehave.Kuna message ambayo nilitumiwa ya balance kama wiki mbili hivi zilizopita.Kila nikitumia USSD code zinaingia kama tatu kwa mpigo.Halafu pia I don't get through with any USSD code.Kila nikijaribu inakuja message "unfortunately com.android.phone has stopped."Finally mtu akinipigia napata message hiyo hiyo,na kwangu simu haiiti lakini kwake inaonyesha kwamba kwangu inaita.Nipeni msaada wajameni.