Msaada plz kuhusu adapter.

Msaada plz kuhusu adapter.

whizzkid

Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
58
Reaction score
5
1.Nauliza kama adapter ya laptop ikiharibika inaweza kutengenezeka?

2.Nina adapter haiingizi chaji kwenye betri ila inauwezo wa kupower computer, je tatizo ni nini na ntalifix vipi?

3.Simu yangu inaniambia low space lakini nkijaribu kufuta vitu space haiongezeki, naombeni mnisaidie nifanyaje?
 
Ni bora kununua adapter mpya kama imeharibika. Kutoungiza chaji mara nyingu ni battery imekufa, kama adapter inapower laptop basi iko sawa. Endelea kufuta vitu au angalia unafuta storage ipi kama Android zina internal na external storage na zote mbili zinajaa kivyake.
 
Ni bora kununua adapter mpya kama imeharibika. Kutoungiza chaji mara nyingu ni battery imekufa, kama adapter inapower laptop basi iko sawa. Endelea kufuta vitu au angalia unafuta storage ipi kama Android zina internal na external storage na zote mbili zinajaa kivyake.
mkuu mimi laptop yangu haiingizi charge ata nikiyoa betrii kisha nikichomeka chargr pia haiingizi wala haiwaki tatizo itakuwa nini
 
Kwenye cm nenda kwenye mafaili utakuta wameandia cache, ifute
 
Back
Top Bottom