kioo kikivuja hakitengenezeki kivumilie tu, ukiona kinasumbua sana kibadilisheDah sikujua mkuua
kwa hiyo hapo suluhisho ni nini
Hahahaha umenifanya nicheke na nimejifunza kitu maana hata mm ningefanya screen shot hivyo hivyoHehehe, nimecheka sana.. Kioo kinaharibika unatuchukulia screenshot, duh! Hii ni world record.
Samahani sana mkuu kwa kucheka.