Kozi ya kurepair smart phone

Kozi ya kurepair smart phone

kabiriga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
1,163
Reaction score
1,214
Nimejaribu kutafuta habari za wapi nitapata chuo cha Kati ambacho kinafundisha ku-repair,service na mambo mengine Kama hayo,ktk vifaa vya elekitoroniki Kama smart phones,mobile phone na tablets.

Naipenda sana hii fani na nataka niifanye ki- professional na sio kubabia
Mwenye taalifa za kunisaidia tafadhari
 
Nimejaribu kutafuta habari za wapi nitapata chuo cha Kati ambacho kinafundisha ku-repair,service na mambo mengine Kama hayo,ktk vifaa vya elekitoroniki Kama smart phones,mobile phone na tablets.

Naipenda sana hii fani na nataka niifanye ki- professional na sio kubabia
Mwenye taalifa za kunisaidia tafadhari
Kwa kesi ya software huna haja ya darasa, binafsi cjapitia darasa ila ni pro now nimeshafanya kazi na box nyingi na model zaid ya mamia kwa mamia ya simu

Mziki ni kwenye hardware, ndio mweupeeeee sina nijualo labda kubadilisha mic ,speaker na vioo tu,
Labda hardware ndio ukasome
 
mimi pia nimetafuta sana ujuzi wa hyo mambo lakn ola, labda uende karkoo utafute mtu mwenye moyo wa kusaidia akupe ujuzi..
ila ukiwa nashida sana nenda VETA, coz kwenye hz electronics device ukishajua ku-gun na kutrace njia, basi kazi imeisha...
 
Katika mambo ambayo ni siri ni knowledge ya kufanya repair za Simu yani hata kama unajamaa ni Fundi wa haya mambo hawezi kukufundisha hapa kwa pesa.
 
Nimejaribu kutafuta habari za wapi nitapata chuo cha Kati ambacho kinafundisha ku-repair,service na mambo mengine Kama hayo,ktk vifaa vya elekitoroniki Kama smart phones,mobile phone na tablets.

Naipenda sana hii fani na nataka niifanye ki- professional na sio kubabia
Mwenye taalifa za kunisaidia tafadhari
Kama ni software basi huna haja ya chuo... Ni mwendo wa online tu... Kikubwa ujue tu cpu za simu husika..
 
Back
Top Bottom