Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hivi Azam tv haina blind scan? Maana nimesakua lakini cjaona Naomba msaada kwa yeyote anayejua masuala ya king,amzi cha Azam Asante.
0 Reactions
3 Replies
751 Views
Habari Naombeni MSAADA nahitaji custom domain kwa ajiri ya blog yangu ila tatizo sina visa card VIP kuna njia yoyote naweza ipata passipo kuwa na visa card
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hbari wadau nina Nokia lumia 830.Kioo kinarespond vizuri ishu i zile button tatu za chini yaani search, home na return hazirespond.Nimeifungua na kuweka weka ikanda bado hazirespod.Nimepeleka kwa...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
MABADILIKO kwenye mtandao maarufu wa simu, WhatsApp, yataanza rasmi leo wakati kipindi cha siku 30 cha kukubali masharti mapya kitakapomalizika. Mabadiliko hayo yanawataka watumiaji kusambaza...
0 Reactions
4 Replies
878 Views
Juzi wakati naendelea na utundu utundu wa simu nkajikuta naweka rom ya h6 kwenye TECNO p5....... Ikafanikiwa kuflash lakini tangia hapo inawaka lakin hata Maneno mf TECNO hailet...
0 Reactions
6 Replies
820 Views
Wanabodi, naomba mwenye keys za end note version yeyote au crack yake. Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
443 Views
Salaam JF. Jamani kuna ndugu yangu kanitumia router na Adsl box plus ethernet cable na mobile kutoka Uk, sasa nimekukuruka kutengeneza wi-fi iliniweze kusambaza lakini nimeshindwa inaonyesha kule...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu naombeni key za GTA v...
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Kwa wanao fahamu frequency wanazotumia startimes kurusha matangazo yao mkoani Mbeya naomba kuzijua. Hizi ni baadhi nilizofanikiwa kuzipata DVB-T Agape(ting) 530Mhz bandwidth 8mhz Agape(ting)...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Wadau nina cm aina tajwa hapo juu napenda kuifanyia rooting nimejaribu kingroot imegoma je zaidi ya hapo nitumie app gani nzuri? Karibuni wataalamu.
0 Reactions
3 Replies
644 Views
Jamani nashida moja ni mtumia mzuri wa internet ila kuna baadhi ya watu wanatumia kwa faida ila me kama mb zangu zinaenda bure kama nilivyosema hapo juuu how to make money with Facebook page...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Snapchat/youtube Good morning. Here is everything you need to know in the world of advertising today. 1. Snapchat is now called Snap Inc. The company has rebranded because it is more than...
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Naomba msaada wenu wa mawazo. Ninayo water pump zile zinazoingizwa ndani ya kisima cha maji. Sasa tatizo lililopo motor yake inazunguka ila maji haipandishi inapandisha kidogo halafu inagoma ila...
0 Reactions
11 Replies
12K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu nimekaa na na kuwaza bila jibu ni nini kimewafanya watengenezaji wa cm za tecno kwenda kufanya usinduzi wa simu zao Dubai. Je ni kutangaza masoko au ni teknolijia...
1 Reactions
3 Replies
956 Views
yahoo yasema imedukuliwa na wadukuzi na wameiba information za watu zaidi ya milioni 500... Yahoo says hackers stole information from about 500 million users in 2014 in what appears to be the...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Closed
Njia gani rahisi ya ku hack FB account, msaada jamani.
0 Reactions
21 Replies
22K Views
wadau naomba msaada kwa anayejua bei ya betri mpya ya laptop aina ya dell... Betri yangu imekufa na nahitaji kununua nyingine ... Ansanten.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Learn more http://www.dmxzone.com/go/22300/dmxzone-security-provider-php/
0 Reactions
0 Replies
521 Views
Habari zenu bandugu. Mwenye utaalamu wa ku-upgrade simu yenye uwezo wa 3G kwenda 4G anisaidie.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
.
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…