Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

wakuu salama humu? Leo naomba hobbylist na wana tech wote tudiscuss kuhusu electronics haswa haswa juu ya sensors je umewah kukutana na sensor ipi ikakuumiza kichwa kufikiria kina namna gani...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Tv yetu leo nimejaribu kuigonga kwa mkono tu kwenye screen ikalia kama plastic flani hivi kama kopo la plastic, je ni tv zote za lcd screen zake ni plastic?
0 Reactions
0 Replies
473 Views
Wadau husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Nimeona tangazo la star Times kua kuna channel mpya ila mi kwangu siioni. Channel no.221 ambayo ndo wanasema ipo mi kwangu ni nat geo e, na ni...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
password 25 ambazo hutakiwi kutumia kabisa katika akaunti zako kwa mujibu wa SplashData. Ngoja tukumbushane wale wanaopenda kutumia password rahisi kama majina yao, 1234, 12345678 au qwertyui...
2 Reactions
0 Replies
996 Views
Kila ninapoingia whatsapp kinatokea kidude hicho kama sign ya smile, kilichopo hapo juu ya charts. Kitu gani hiki wakuu? Au ndo nadukuliwa? Msaada tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kufuatia kile kinachoitwa kuishiwa pumzi kwa simu za samsung note 7 ambayo ni flagship ya 2016-017,sasa ni dhairi mpinzani wake mkubwa apple atazidi kupaa ktk smartphone market huku na kuliteka...
3 Reactions
54 Replies
6K Views
Yeyote anaye uza fifa 17 full game Tafadhal 0679029498 Iwe na set up file Bei < 10000
1 Reactions
3 Replies
947 Views
Tafadhali msaada kwa yoyote mwenye kufahamu anisaidie;nimedownload movie lakini imekua zipped na RAR programme kila nikijaribu ku extract inafungua na kuleta faili lakini napojaribu kulihamisha au...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwenye uelewa tafadhali.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
naomba msaada kwa wale wenye kujua njia za kupata movie zenye quality nzuri kupitia simu ya android
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Voda wanaziuza 260,000/- kuna mzazi anayejua nitapatia wapi kwingine ile nipate kwa bei ya chini kidogo?
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Wakuu Nina jamaa yangu ana Simu yake Tecno m3 kila akiweka laini inagoma kusoma zaidi laini ya tigo tatizo ni nini!
0 Reactions
3 Replies
767 Views
Naitaji ku live stream local channel kama AZAM TV 2 na HD pia ku live stream channel zingine mfano zilipo MOBDRO kwa kutumia ANDROID ,Mimi nataka kutumia PC nifanyeje?
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Leo kuna mtu kanitumia kanitumia msg zangu za whatsapp:(:(:(:( . Kanituma link hii ya application hii https://goo.gl/c6Oaox aliotumia,sasa nimejaribu masaa 4 sasa bila mafanikio.Anaeweza itumia...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Msaada wetu wadau jana katika kutumia simu yangu nimekutana na kitu kikanishtua sana. Kwenye email set up nilikuwa najaribu kuupdate kwenye computer sasa kilichotokea ni pale nilipoona Google...
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Wadau naweza kuplay video zilizoko kwenye memory card kwa kutumia deck ya dvd ili zionekane kwenye screen.Kama inawezekana ni vifaa gani vinahitajika
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello men napataje app nzur ya kudownload youtube video wakuu pls
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Habari Ndugu wataalam wa ku design templates za blogger na hitaji tufanye kazi hapa kwa mtu anaeweza kufanya kazi hii. nimeipenda template hapa na nina penda niweze kuitumia katika blog yangu...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naamin mnaweza kunisaidia natumia simu ya Samsam J1 ila kuanzia jana kuna tatzo limetokea niktuma msg watsup haziend wala kupokea sms watsup pia upande wa Opera min haifunguki kabisa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Bye bye whatzupp ?! Now introducin new app called TELEGRAM with highspeed msg delivering capable to send files up to 1GB, nd also it features to share Word nd powerpoint files... group capacity...
4 Reactions
36 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…