Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jamani hapa tunabishana mpaka tunataka kutoana roho. Je oil ni mineral au sio mineral? Msaaada tafadhaliii
0 Reactions
15 Replies
2K Views
wadau nina tatzo simu yangu ya tecno imekufa software ghafla je ntafanyaje ipate kufanya kazi kama hapo hawali
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu kuna mtaalam hapa Tz hasa Mbeya ambaye anaweza ku-flash android kwa kutumia Factory Image File??
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari za muda huu wadau ningependa kufahamu bei ya betri la iphone 5s coz nahis kama betri la kwenye simu yangu limekufa... huku mkoani nilipo hakuna maduka yanayouza hizo betri za aina hiyo hivo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
A group of scientists in Vienna, Austria have launched a plan to create a peaceful nation of its kind that would have Asgardia name. The nation will be created in outer space, location. Details...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwenye dunia ya leo simu za Android imekuwa kitu muhim sana zaid ya kuzitumia kwa mawasiliano bali wengine zimekuwa ni office zake kabisa. hutumia kuhifadhi vitu vyetu vingi nyngine ikiwa ni siri...
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Naomba mnisaidie, nipo ninapiga mashine yangu window 7 ila inagoma kuformat disk ambayo window inatakiwa iingie. Pili ukinext inaanza kukocopy files na ku expanding Windows files mpaka 100% ila...
0 Reactions
2 Replies
959 Views
Uraibu wa mitandao ya intaneti unaweza kuwa chanzo cha magonjwa mengine ya akili, ripoti inasema. Utegemezi wa mitandao hiyo unahusishwa na sonona, wasiwasi na mfadhaiko hivyo kuathiri uwezo wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama unatumia Samsung uwe makini, sio kwa watumiaji wa Samsung note7 tuu. Hyo video ni ya mtu aliyekipukiwa na Samsung note3 wakati akiwa anaendesha pikipiki.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
I am developing an application which needs a user to input his/her postal address during registration. I have broken the input into two fields: postal address and postal town/city as shown below...
0 Reactions
1 Replies
885 Views
Ndugu wanajamvi, habari...napenda kuulizia kama kuna uwezekano wa kurekebisha external hard drive iliyodondoka na sasa haisomi ila inavibrate tu na kutoa "clicking-like sounds' inapochomekwa...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
CONDITION - NEW PRICE 400000/TSH Dual Sim, 4G, 3G, Wi-Fi Octa Core, 1.5 GHz Processor 3 GB RAM, 16 GB inbuilt 2750 mAH Battery 5 inches, 1080 x 1920 px display 13 MP Camera with flash Memory...
0 Reactions
0 Replies
532 Views
habar wakuu? nahitaji msaada jana nimetumiwa scanned documents kupitia gmail,ambapo hizo docs zang zpo katik pdf,so jamaa alipozisend zilikuja,katik google drive kwasabu zilikuwa na size...
0 Reactions
4 Replies
812 Views
Habari naombeni msaada ni jinsi gani naweza weka mfano research ili mtu yeyote akiingia ntandaoni anauwezo wa kuisoma
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu kwanza kabisa natanguliza shukrani kwenu nyote. Nimekuja niwaombe mnielekeze kwenye duka la samsung official liko wapi kwa hapa Dar es salaam?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Chief-Mkwawa Naomba msaada SIMU BORA Naomba unichagulie simu bora ya kununua bajeti yangu Tsh 0.8mln up to 1.2mln napendelea sana double line kwajili ya kupunguza uzito mfukoni. History yangu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
I have a one month old Galaxy Note 1. Yesterday, I woke up to a "Disconnected Battery" warning. The battery didn't charge overnight due to this warning. Looked around this forum and didn't see...
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Ukikutwa na Samsung Galaxy Note 7 unapigwa faini http://tzwarriors.blogspot.com/2016/10/ukikutwa-na-samsung-galaxy-note-7.html
0 Reactions
0 Replies
548 Views
Virtual private network.... Wakuu habar yenu hum ndan... Kila siku nakiona hiki kitu ila... Uvumilivu umenishinda... Mwenye uelewa na hii mambo anijuze jinc ya kuitumia...
0 Reactions
3 Replies
792 Views
Dah halotel sasa mumezidi,yani mtandao umekua na spidi mbovu kupita kiasi mpaka kubrowse tu imekua shida na kustream ndio usiseme yani utakuta buffering kibao.Hivi tatizo lipo wapi wakuu maana...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…