Walimu wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam tumelipwa nusu tu ya hela ya kujikimu yaani laki 550,000, tumeajiriwa tangu Februari mosi 2025.
Hiyo nusu yenyewe tumepewa baada ya mwaka mzima na...
Majibu ya MAOMBI YA KUJIUNGA JWTZ yametoka au bado?
Niliomba kujiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania. Sasa mwezi umepita, lakini sijapata majibu wala simu.
Je, kuna yeyote amepata...
Mimi ni moja ya watumishi wapya (Kada ya Elimu) Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu. Tangu January 2026 hatujapewa pesa ya kujikimu mpaka muda huu.
Hata ajira za mwaka jana (2025), February...
MAJIBU YA MALALAMIKO YA WATUMISHI WA TEMESA KUTOKA JAMIIFORUMS LALAMIKO
Hoja ya Mdau iliyowasilishwa awali ~ Watumishi wa TEMESA Kanda ya Ziwa chini ya Wizara ya Ujenzi hatujalipwa stahiki zetu...
MAMLAKA YA MKOA WA SIMIYU – IDARA YA ELIMU: HESHIMUNI NA LIPENI STAHIKI ZA WALIMU WANAOSAHIHISHA MITIHANI YA MOCK
Baada ya baadhi ya walimu kukamilisha zoezi la usahihishaji katika masomo yetu...
Halmashauri ya Wilaya Tandahimba Ajira Mpya wengi wetu hatujapewa fedha zetu za kujikimu tangu tu report kazini Mwezi January 2026. Tunapouliza jibu huwa ni moja kuwa “Tunalishughulikia” bila...
Mimi ni mdau wa elimu kutoka Jiji la Arusha.
Kwa sasa dirisha la maombi ya kujiunga na vyuo vya kati kwa kozi za afya lipo wazi. Hata hivyo, jambo linalozua maswali mengi ni hatua ya NACTVET...
Nina Elimu Ya degree ya bima na usimamizi wa majanga (Bsc in Insurance and Risk Management) Kutoka Chuo cha usimamizi wa Fedha (IFM),Main Campus.
Mbali Na Elimu yangu nina uzoefu wa miaka zaidi...
Habarini wakuu,
Natafuta kijana au mtu yeyote aliyesomea Insurance (level yoyote), ambaye kwa sasa hana kazi lakini ana motivation, nidhamu, na utayari wa kufanya kazi kwa juhudi.
Nina mpango wa...
Mimi ni Mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya Itilima, Mkoa wa Simiyu, kuna Mtumishi ajira mpya Afya ali-report kituoni toka mwezi wa 7 mwaka Jana 2025 hadi leo yeye na wenzake wanalalamika kutolipwa...
Nikiwa mmoja wa waajiriwa wapya kupitia Ajira Mpya, na napenda kueleza changamoto kubwa tunayoipitia kuhusu fedha za kujikimu.
Kwenye baadhi ya halmashauri, inaelezwa kuwa fedha hizi zinafika...
Wakuu maisha ni safari ndefu na kuna mapito ila usiombe yakukute.
Hapa nilipo nimefanya kila kitu kwa kutumia akili yangu na ujanja kama mwanadamu lakini mpaka leo sina ajira.
Nilipopoteza kazi...
Je, mfumo unaounganisha watu wenye ujuzi, kazi za muda na wanaohitaji huduma unaweza kusaidia kupunguza ukosefu wa ajira Tanzania?
Mfano:
Mtu akiwa free anaweza kupata kazi ya muda. Mtaalamu...
Wanajukwaa kweli nimeamini kuajiriwa ni utumwa,ukiingia jukwaa la ajira na tender ndo utajionea waajiriwa walivyo na hali ngumu.
Kila kona ni vilio na kero. Kuanzia halmshauri ya Itigi mpka uko...
Karibuni wanajamii,
Nimefungua thread hii kwa ajili ya kukusanya na kushirikishana taarifa za Tender, Zabuni, RFQ, RFP na fursa mbalimbali zinazohusiana na:
• Usafi (Cleaning Services)
•...
Tangazo.
Natafuta Msaidizi wa nyumba.
Vigezo ni Vigumu Kuliko Kupata Mkopo wa IMF
Habari za mchana wana-Jamii
Bila kupoteza muda, maisha yameenda kasi na majukumu yameongezeka. Natafuta binti...
Kwa namna mchakato unavyoendeshwa unaonekana ni mzuri sana na wanaosaka ajira baadhi Yao wanakiri kabisa kuwa mchakato unatenda haki.
Kinachohitajika katika mchakato wa kutafuta waajiriwa ni...
Salamu kwenu wadau, poleni na majukumu na mapambano ya kusaka ajira.
Sote tunajua jinsi ilivyo ngumu kufaulu usaili wa ajira za utumishi wa umma. Changamoto huwa ni pale unapofika kwenye chumba...
Naandika ujumbe huu kwa niaba ya wafanyakazi wenzangu wa Joshmal Hotel, Arusha, ili kuwasilisha changamoto kubwa tunayokabiliana nayo mahali pa kazi.
Sisi wafanyakazi tumekuwa tukifanya kazi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.