Nimeamini kuajiriwa ni utumwa

Nimeamini kuajiriwa ni utumwa

Rog chimera

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
428
Reaction score
766
Wanajukwaa kweli nimeamini kuajiriwa ni utumwa,ukiingia jukwaa la ajira na tender ndo utajionea waajiriwa walivyo na hali ngumu.

Kila kona ni vilio na kero. Kuanzia halmshauri ya Itigi mpka uko mtwara ndani ndani ni vilio tu vya kunyimwa fedha za kujikimu, kutopandishwa madaraja na kadhalika na kadhalika. Waajariwa wengi ni watu manungaembe akili zao ziko dormant.

Mkome kabisa, mlishindwa ata kukaanga vitumbua mkapange barabarani???😂😂😂
 
Wanajukwaa kweli nimeamini kuajiriwa ni utumwa,ukiingia jukwaa la ajira na tender ndo utajionea waajiriwa walivyo na hali ngumu.Kila kona ni vilio na kero. Kuanzia halmshauri ya Itigi mpka uko mtwara ndani ndani ni vilio tu vya kunyimwa fedha za kujikimu, kutopandishwa madaraja na kadhalika na kadhalika. Waajariwa wengi ni watu manungaembe akili zao ziko dormant. Mkome kabisa, mlishindwa ata kukaanga vitumbua mkapange barabarani???😂😂😂
Hakuna kazi isiyo na changamoto mkuu, hata huku sisi tuliko tuna changamoto nyingi tu zinatusibu
 
Wanajukwaa kweli nimeamini kuajiriwa ni utumwa,ukiingia jukwaa la ajira na tender ndo utajionea waajiriwa walivyo na hali ngumu.Kila kona ni vilio na kero. Kuanzia halmshauri ya Itigi mpka uko mtwara ndani ndani ni vilio tu vya kunyimwa fedha za kujikimu, kutopandishwa madaraja na kadhalika na kadhalika. Waajariwa wengi ni watu manungaembe akili zao ziko dormant. Mkome kabisa, mlishindwa ata kukaanga vitumbua mkapange barabarani???😂😂😂
Why Itigi lkn?
 
Back
Top Bottom