Ninaomba kuwasilisha kilio changu kuhusu kutokuwepo kwa maafisa wa mfumo wa Ajira Portal katika ofisi za Kivukoni, Dar es Salaam, jambo ambalo linasababisha usumbufu mkubwa kwa waombaji wa kazi...
Mimi ni Mtumishi wa Serikali Kada ya Afya nipo Uyui Mkoani Tabora, nina maoni ambayo pia ni kama kero kwangu na kwa Watu wengi kuhusu mchakato wa Uhamisho wa Njia ya Online kwa Watumishi wa...
Ndugu zangu, naomba ushauri wenu.
Mdogo wangu aliitwa kwenye usaili wa maandishi (written interview) wa nafasi ya Registration Officer II – NIDA, na nikaja humu kuomba tips za maswali na kwa...
🚨 JOB VACANCY | HEAD OF FUEL MANAGEMENT
Dangote Industries Limited is seeking an experienced and results-driven professional to join its Mtwara Plant as Head of Fuel Management.
📍 Mtwara...
Kero yetu sisi walimu wa kujitolea au wa mkataba katika shule za msingi kupitia mradi wa gpe, ambao tuliletwa na tamisemi. tupo nchi nzima, lakini mpaka sasa hatujalipwa. mara ya mwisho kulipwa...
OMBI LA UCHUNGUZI WA HARAKA KUHUSU IGUWASA
Tunaziomba Wizara ya Maji, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mheshimiwa Waziri wa Maji, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAKUKURU na mamlaka nyingine husika kufanya...
Ninaomba kuwasilisha kero yangu kuhusu suala la uhamisho kwa watumishi wa umma, hususan kada za ualimu na afya.
Kwa muda sasa, uhamisho umekuwa changamoto kubwa na kama janga kwa watumishi wengi...
Watumishi wa ajira mpya wa Januari 2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Nzega DC) bado hatujalipwa fedha za kujikimu hadi leo.
Kinachotushangaza ni kwamba baadhi ya watumishi, hususan wa...
Ciwaye Trading Co. Ltd inatangazia umma wanatoa nafasi kazi 4 za madereva wa malori ya mizigo
Sifa
1. Awe na vyeti vyote vya mafunzo na leseni halali
2. Awe hajashiriki kosa lolote la kijinai
3...
Mimi ni muuguzi na Mkunga ngazi ya diploma niko full registered na nina vyeti vyote original pamoja na experience
Kama mdau wa JF kama kituoni kwako kuna nafasi naomba unisanue.
Au una...
Kuna Watumishi wa Wizara ya Maji wanaolalamikia kutokudhibitishwa kazini licha ya kuwa wamekaribia kutimiza miaka miwili tangu waajiriwe.
Watumishi hao wanasema hawaelewi sababu ya kucheleweshewa...
Waajiriwa wapya katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, mkoani Mara. Tumeajiriwa tangu tarehe 18 Januari, 2026 lakini hadi sasa hatujalipwa kabisa pesa za kujikimu. Hali hii inatupa wakati mgumu...
Vibali vya kazi vinavyotolewa na mfumo wa Taesa haupo sirias mda mwingi kuja system error na hata pia huchkua muda mrefu kupata kibali mbali na mhusika kashakamilishamilisha mahitaj viambata na...
Mimi ni mmoja wa walimu waliopata uhamisho katika Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu, mkoani Mtwara. Uhamisho wa kwanza ulifanyika mwezi Desemba 2023 kwenda shule mpya za Mkapa Wasichana Sekondari...
Ningependa kupata ufafanuzi kuhusu matumizi ya mfumo wa TAESA katika utoaji wa fursa za mafunzo kwa vitendo (internship) na ajira kwa vijana.
Kwa muda mrefu tumekuwa tukihamasishwa kujiunga na...
Mimi ni mmoja wa wananchi ninayepata huduma katika ofisi za NIDA, eneo la Chang’ombe mkoani Dar es Salaam. Kwa kweli kuna changamoto kubwa sana kwenye namna ya utoaji huduma, hasa upande wa...
Tunafundisha masomo yafuatayo:
Physics
Mathematics
Chemistry
Kwa wanafunzi wa O-Level na A-Level.
Karibu kupata huduma bora ya ufundishaji kwa mafanikio ya masomo yako.
Wasiliana nasi: 0782044028
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.