Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Anonymous (76e2)
Ninaomba kuwasilisha kilio changu kuhusu kutokuwepo kwa maafisa wa mfumo wa Ajira Portal katika ofisi za Kivukoni, Dar es Salaam, jambo ambalo linasababisha usumbufu mkubwa kwa waombaji wa kazi...
1 Reactions
3 Replies
172 Views
Anonymous (17f5)
Mimi ni Mtumishi wa Serikali Kada ya Afya nipo Uyui Mkoani Tabora, nina maoni ambayo pia ni kama kero kwangu na kwa Watu wengi kuhusu mchakato wa Uhamisho wa Njia ya Online kwa Watumishi wa...
1 Reactions
5 Replies
427 Views
Ndugu zangu, naomba ushauri wenu. Mdogo wangu aliitwa kwenye usaili wa maandishi (written interview) wa nafasi ya Registration Officer II – NIDA, na nikaja humu kuomba tips za maswali na kwa...
1 Reactions
6 Replies
352 Views
🚨 JOB VACANCY | HEAD OF FUEL MANAGEMENT Dangote Industries Limited is seeking an experienced and results-driven professional to join its Mtwara Plant as Head of Fuel Management. 📍 Mtwara...
0 Reactions
0 Replies
102 Views
Anonymous
Kero yetu sisi walimu wa kujitolea au wa mkataba katika shule za msingi kupitia mradi wa gpe, ambao tuliletwa na tamisemi. tupo nchi nzima, lakini mpaka sasa hatujalipwa. mara ya mwisho kulipwa...
0 Reactions
2 Replies
209 Views
OMBI LA UCHUNGUZI WA HARAKA KUHUSU IGUWASA Tunaziomba Wizara ya Maji, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mheshimiwa Waziri wa Maji, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAKUKURU na mamlaka nyingine husika kufanya...
1 Reactions
0 Replies
307 Views
Anonymous
Ninaomba kuwasilisha kero yangu kuhusu suala la uhamisho kwa watumishi wa umma, hususan kada za ualimu na afya. Kwa muda sasa, uhamisho umekuwa changamoto kubwa na kama janga kwa watumishi wengi...
0 Reactions
2 Replies
163 Views
Anonymous
Watumishi wa ajira mpya wa Januari 2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Nzega DC) bado hatujalipwa fedha za kujikimu hadi leo. Kinachotushangaza ni kwamba baadhi ya watumishi, hususan wa...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Ciwaye Trading Co. Ltd inatangazia umma wanatoa nafasi kazi 4 za madereva wa malori ya mizigo Sifa 1. Awe na vyeti vyote vya mafunzo na leseni halali 2. Awe hajashiriki kosa lolote la kijinai 3...
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Mimi ni muuguzi na Mkunga ngazi ya diploma niko full registered na nina vyeti vyote original pamoja na experience Kama mdau wa JF kama kituoni kwako kuna nafasi naomba unisanue. Au una...
4 Reactions
12 Replies
506 Views
Anonymous
Kuna Watumishi wa Wizara ya Maji wanaolalamikia kutokudhibitishwa kazini licha ya kuwa wamekaribia kutimiza miaka miwili tangu waajiriwe. Watumishi hao wanasema hawaelewi sababu ya kucheleweshewa...
0 Reactions
1 Replies
135 Views
Habari, Ningependa kujua samples questions wanazo uliza, secondly if job description haija specify language unaweza kuta language yyte?
0 Reactions
3 Replies
130 Views
Anonymous
Waajiriwa wapya katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, mkoani Mara. Tumeajiriwa tangu tarehe 18 Januari, 2026 lakini hadi sasa hatujalipwa kabisa pesa za kujikimu. Hali hii inatupa wakati mgumu...
0 Reactions
3 Replies
102 Views
Vibali vya kazi vinavyotolewa na mfumo wa Taesa haupo sirias mda mwingi kuja system error na hata pia huchkua muda mrefu kupata kibali mbali na mhusika kashakamilishamilisha mahitaj viambata na...
0 Reactions
0 Replies
125 Views
Anonymous
Mimi ni mmoja wa walimu waliopata uhamisho katika Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu, mkoani Mtwara. Uhamisho wa kwanza ulifanyika mwezi Desemba 2023 kwenda shule mpya za Mkapa Wasichana Sekondari...
0 Reactions
2 Replies
102 Views
Anonymous
Ajira Mpya Bukoba Manispaa tuliajiriwa Tarehe 26/08/ 2024 mpaka mwaka huu 2026 hatujazibithishwa kazini tukiuliza tunajibiwa BODI YA AJIRA HAIJAKAA.
1 Reactions
1 Replies
69 Views
Anonymous (629e)
Ningependa kupata ufafanuzi kuhusu matumizi ya mfumo wa TAESA katika utoaji wa fursa za mafunzo kwa vitendo (internship) na ajira kwa vijana. Kwa muda mrefu tumekuwa tukihamasishwa kujiunga na...
0 Reactions
0 Replies
181 Views
Anonymous
Mimi ni mmoja wa wananchi ninayepata huduma katika ofisi za NIDA, eneo la Chang’ombe mkoani Dar es Salaam. Kwa kweli kuna changamoto kubwa sana kwenye namna ya utoaji huduma, hasa upande wa...
0 Reactions
0 Replies
134 Views
Tunafundisha masomo yafuatayo: Physics Mathematics Chemistry Kwa wanafunzi wa O-Level na A-Level. Karibu kupata huduma bora ya ufundishaji kwa mafanikio ya masomo yako. Wasiliana nasi: 0782044028
0 Reactions
1 Replies
80 Views
Back
Top Bottom