Wakuu maisha ni safari ndefu na kuna mapito ila usiombe yakukute.
Hapa nilipo nimefanya kila kitu kwa kutumia akili yangu na ujanja kama mwanadamu lakini mpaka leo sina ajira.
Nilipopoteza kazi...
Je, mfumo unaounganisha watu wenye ujuzi, kazi za muda na wanaohitaji huduma unaweza kusaidia kupunguza ukosefu wa ajira Tanzania?
Mfano:
Mtu akiwa free anaweza kupata kazi ya muda. Mtaalamu...
Wanajukwaa kweli nimeamini kuajiriwa ni utumwa,ukiingia jukwaa la ajira na tender ndo utajionea waajiriwa walivyo na hali ngumu.
Kila kona ni vilio na kero. Kuanzia halmshauri ya Itigi mpka uko...
Karibuni wanajamii,
Nimefungua thread hii kwa ajili ya kukusanya na kushirikishana taarifa za Tender, Zabuni, RFQ, RFP na fursa mbalimbali zinazohusiana na:
• Usafi (Cleaning Services)
•...
Tangazo.
Natafuta Msaidizi wa nyumba.
Vigezo ni Vigumu Kuliko Kupata Mkopo wa IMF
Habari za mchana wana-Jamii
Bila kupoteza muda, maisha yameenda kasi na majukumu yameongezeka. Natafuta binti...
Kwa namna mchakato unavyoendeshwa unaonekana ni mzuri sana na wanaosaka ajira baadhi Yao wanakiri kabisa kuwa mchakato unatenda haki.
Kinachohitajika katika mchakato wa kutafuta waajiriwa ni...
Salamu kwenu wadau, poleni na majukumu na mapambano ya kusaka ajira.
Sote tunajua jinsi ilivyo ngumu kufaulu usaili wa ajira za utumishi wa umma. Changamoto huwa ni pale unapofika kwenye chumba...
Naandika ujumbe huu kwa niaba ya wafanyakazi wenzangu wa Joshmal Hotel, Arusha, ili kuwasilisha changamoto kubwa tunayokabiliana nayo mahali pa kazi.
Sisi wafanyakazi tumekuwa tukifanya kazi kwa...
Habari wakuu! Natumai mko poa kabisa
Moja kwa moja kwenye mada hapo juu
Ni mafao gani anayostahili kupata mtu qmbaye kafukuzwa kazi serikalini kwa kosa la kinidhamu?
Naomba kuwasilisha wakuu
Wakuu,
Heri ya Mwaka Mpya 2026! Hii ni thread yangu ya kwanza mwaka huu na hivyo nimeona nianze kwa kuangalizia sekta ya ajira na ukuaji wa teknolojia na kinachoendelea kutokea kuelekea mwaka...
Tunaomba kufikishwa kwa mamlaka husika malalamiko yetu kutoka kwa walimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kuhusu changamoto inayojitokeza katika suala la uchaguzi wa vyama vya wafanyakazi...
Mimi ni mhitimu wa Automobile Engineering / Automotive Engineering. Napenda kuwasilisha kero ifuatayo:
Kwenye mfumo wetu wa ajira Portal, kozi zetu mbili zinawekwa kama fani tofauti kabisa...
Kwa muda mrefu sasa hatupati posho ya madaraka, tofauti kabisa na wenzetu wa sekta ya elimu hasa wakuu wa shule za msingi ambao wao wanalipwa posho hiyo, hadi kufikia laki mbili kwa mwezi. Sisi...
UTUMISHI na TAMISEMI fuatilieni kwa makini sana utekelezaji wa maelekezo yenu kwa wakurugenzi na maafisa rasilimali watu kwenye halimashauri ya wilaya Ukerewe, kwakuwa mkurugenzi bado anaendelea...
Watumishi wengi katika Halmashauri ya Wilaya ya Newala (Newala DC) ambao wanastahili kupandishwa madaraja bado hawajapandishwa licha ya kutimiza vigezo vinavyotakiwa kwa mujibu wa taratibu za...
Mimi ni mtumishi wa umma kutoka Halmashari ya Wilaya Kishapu iliyopo mkoa wa Shinyanga, halmashauri yetu imekuwa haiwatendei haki watumishi wake kama ifuatavyo:
1. Malipo ya fedha za likizo...
Habari ndugu wa Tanzania,
Natafuta kazi za MEL kwenye hizi ng'os hata local nikipata sawa ntashukuru.
Nimejaribu kuomba tokea mwezi January lakini naona kimya😫.
Nimesomea takwimu.
Ni mwanamke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.