Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Napenda kuwasilisha hoja kuhusu changamoto inayowakabili Wahadhiri wengi wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini katika mchakato wa kupandishwa vyeo. Kwa sasa, Wahadhiri wengi wamekwama kutokana na...
1 Reactions
7 Replies
320 Views
Serikali imeweka sharti kwamba ili mtumishi apandishwe daraja, lazima awe amefikisha alama (score) ya angalau asilimia 75 kwenye mfumo wa PEPMIS kwa mwaka wa 2024/2025. Tatizo ni kwamba watumishi...
0 Reactions
5 Replies
248 Views
Anonymous
Kwa kweli suala la ajira, hususan katika baadhi ya taasisi za umma kama PCCB, limekuwa chanzo cha masikitiko na kukatisha tamaa kwa wahitimu wengi. Mimi ni mhitimu mwenye shahada inayokidhi...
1 Reactions
2 Replies
340 Views
Anonymous
Watumishi Idara ya Elimu Wilaya ya Chalinze wanavyoonewa na kudhalilishwa na Afisa Elimu na baadhi ya Walimu Wakuu kwa kuwachongelea walimu kwa Afisa Elimu kisha kuwatisha kuwaharibia kazi...
2 Reactions
3 Replies
88 Views
Anonymous
Mimi ni mmoja wa watumishi wa kada ya afya tuliyoajiriwa mwaka 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea. Kero yangu kubwa ni kutolipwa stahiki zetu za pesa za kujikimu (allowance) kama...
1 Reactions
1 Replies
66 Views
Anonymous
Malalamiko yangu kuhusu nafasi ya Afisa Uhifadhi wa Bahari kwa upande wa Zanzibar kwenye mfumo wa Zanajira, kwenye nafasi hii sisi ambao tumesoma BACHELOR OF SCIENCE IN AQUACULTURE from SUA...
1 Reactions
1 Replies
142 Views
Anonymous (6498)
Kuna malalamiko kutoka kwa wataalamu wa maabara walio katika programu ya mafunzo kwa vitendo (tarajali) kuhusu kiwango cha malipo wanachopokea. Wataalamu hao wanaelezwa kuwa wanapaswa kulipwa...
1 Reactions
2 Replies
136 Views
Habari humu ndani! Mimi ni mwanamke miaka 29, elimu yangu form four. Natokea dar es salaam(goba).Nilikuwa na uhitaji wa kazi hasa shuleni ninauzoefu nayo,hasa kulea watoto na usafi.Kama kuna mtu...
5 Reactions
32 Replies
322 Views
Anonymous
Halmashauri ya Manispaa ya Moshi watumishi tunaoomba ruhusa ya kwenda kusoma huwa tunanyimwa ruhusa bila sababu na muda mwingine tunaombwa Hela ili uweze kuruhusiwa na usipotoa hupewi ruhusa...
1 Reactions
2 Replies
103 Views
Habari za Uzima Ndugu Zangu. Mimi ni kijana wa Kiume Umri Miaka 27 Natafuta kazi ya Store keeper Au Patron "Kusimamia Wanafunzi" Nina Uzoefu wa kufanya hizi kazi., ila hata ikipatikana Kazi...
2 Reactions
2 Replies
109 Views
Anonymous
Madaktari hospitali ya wilaya katika Halmashauri ya Mpimbwe wanadai kunyimwa malipo ya call allowance tangu Februari mwaka jana, huku wakielezwa kuwa OC haijaingiziwa fedha hizo. Hata hivyo...
3 Reactions
4 Replies
133 Views
Habari, Mimi ni mdada natafuta kazi ya stationery. Nina miaka 26, nina utaalamu na uzoefu mkubwa wa kazi zote za Stationery na mauzo. Pia, nina ujuzi wa Graphic Design na nina ujuzi wa kutumia...
2 Reactions
13 Replies
420 Views
Tunafanya kazi kampuni ya Kichina ipo Ilemela hapa Mwanza, tunajenga Soko Kirumba, kero yetu ni kuwa michango ya Hifadhi ya NSSF ni shida hatujawekewa tangu Septemba 2025. Kazi ilianza tangu Mei...
1 Reactions
3 Replies
261 Views
Wajomba maisha yamekuwa heavy sana naomba niende straight,wekeni link hapa za remote jobs ambazo zko legit kwa watanzania.Gusa hapa nenda ukajitafutie cha kufanya
2 Reactions
3 Replies
132 Views
Kama umeitwa katika usaili wa mchujo, Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II au kwa kimombo, Record Management Assistant II utakuwa unajiuliza maswali yanatokaje hasa kama ni mara yako ya kwanza...
0 Reactions
1 Replies
150 Views
Mimi kwa taaluma yangu ni mwalimu. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikihangaika kutafuta ajira serikalini kupitia Ajira Portal. Nimekuwa nikifanya usaili mara kwa mara, napita hatua ya maandishi hadi...
6 Reactions
17 Replies
460 Views
Anonymous
Sisi ni watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, tukiwa miongoni mwa waajiriwa wapya wa mwaka 2026 (kuanzia mwezi Januari) katika kada mbalimbali zikiwemo ualimu, afya, ustawi wa jamii, kilimo...
0 Reactions
3 Replies
104 Views
Back
Top Bottom