Majibu ya MAOMBI YA KUJIUNGA JWTZ yametoka au bado?Niliomba kujiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

Majibu ya MAOMBI YA KUJIUNGA JWTZ yametoka au bado?Niliomba kujiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
A

Anonymous

Guest
Majibu ya MAOMBI YA KUJIUNGA JWTZ yametoka au bado?

Niliomba kujiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania. Sasa mwezi umepita, lakini sijapata majibu wala simu.

Je, kuna yeyote amepata jibu (kukubaliwa au kukataliwa)? Au bado wanachakata?
 
Back
Top Bottom